Pandisha HISIA, Shusha MZIGO Tembea. Ni kama ushauri tu

Pandisha HISIA, Shusha MZIGO Tembea. Ni kama ushauri tu

Ushauri wangu wa leo ni kwa wanamume tu.

Ndugu yangu mwanamke wa kileo Ukifika au akija getoni kwako chakufanya ni

KUPANDISHA HISIA, Shusha MZIGO tembea

Hio ndio iwe kauli mbiu yako.

Sio unaanza kuzuia hisia huku ukiisi kuna kunasehemu utamfikisha huko ni kujichelewesha tu,

Mara sijui umpakie Mkongo ni bure unajiumiza,

Sijui upeleke ulimi chumvini kaka ni bure unajitafutiia maradhi ya ajabu ajabu.

Wanawake wenyewe wameshatoka huko mda tu.

Akifika mpe ela yake PANDISHA zako hisia fanya kama upo na mdada mzuri sana wa hapo kazini kwako anayekukataa kila siku.

Nenda nje ndani nje ndani hata ikiwa kwa nje ndani 3 SHUSHA zako mzigo mwache atembee, au Koga zako maji lala.

Wala hakuna TUZO ya mfungaji BORA au ya mchezaji BORA zaidi ya U.T.I na H.I.V

umelipa ela ya bajaji umemlipa ela na yeye alafu unatumia masaa matatu kumuandaa hivi unaakili timamu kweli?
Kuna mke na mama wa familia pahala akikusikia,utakatwa vipande wewe😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Tena eti ana akili weeee.
 
Kwa akili hizi, mwanamke ukipata mkaka anaandaa vizuri, Mti uko 5G, mabao yanaunganishwa, Vyema kumng'ang'ania

Mwanaume huyo ni HAZINA!!
Hakuna kitu nachukia humu duniani kama kung'ang'aniwa na mwanamke. Na ndio maana huwa nikikamatilia nyuchi, napiga zangu tako tatu, nakojoa nalala
 
Back
Top Bottom