Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana
Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana
Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti
Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko jiandae kupanua paja gogo laja"🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Babu alinikumbusha mbali Sana
Leo natembea njia ya Mlimani city nakutana na wadada wamevaa na tshirt zimeandikwa misamiati huu
Sikuhizi watoto hawana kabisa tafsida, anaweza akatukana akikuita mpaka genye zikakuisha🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Sasa na misamiati yetu ya kale, walaaa, midadi inapanda unasubiria Gogo like kama lote
Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana
Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti
Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko jiandae kupanua paja gogo laja"🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Babu alinikumbusha mbali Sana
Leo natembea njia ya Mlimani city nakutana na wadada wamevaa na tshirt zimeandikwa misamiati huu
Sikuhizi watoto hawana kabisa tafsida, anaweza akatukana akikuita mpaka genye zikakuisha🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Sasa na misamiati yetu ya kale, walaaa, midadi inapanda unasubiria Gogo like kama lote