SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
CCM ni Msitu wa Vipaji na Hekima. Chadema waliona ni Haramu kumteua Mh. Pandu Mwenye Diploma ya Sheria na kumuacha Mh. Prof Mahalu eti kwa kuwa ana elimu ya Zaidi, lakin waliona ni halali kumteua Form Six Failure Mbowe Kugombea Urais na Kumuacha Prof. mwesiga Baregu 2005.[/QUOTECC
Mungi@Yericko Nyerere@Ben Saanane
This is simple arithmetic, Mbowe is not booksmart but very intelligent Prof Baregu is booksmart but not intelligent, you dont need to be a rocket scientist to pick Mbowe and drop the bookworm Baregu.
you explain it well! always booksmart overcomfident thereself and cause underperformance,but the "house/parliament need enough wisdom and intelligence"This is simple arithmetic, Mbowe is not booksmart but very intelligent Prof Baregu is booksmart but not intelligent, you dont need to be a rocket scientist to pick Mbowe and drop the bookworm Baregu.
CCM ni Msitu wa Vipaji na Hekima. Chadema waliona ni Haramu kumteua Mh. Pandu Mwenye Diploma ya Sheria na kumuacha Mh. Prof Mahalu eti kwa kuwa ana elimu ya Zaidi, lakin waliona ni halali kumteua Form Six Failure Mbowe Kugombea Urais na Kumuacha Prof. mwesiga Baregu 2005.
Wazenj walifanywa bidhaa miaka mingi sana..thisi time around itakuwa ngumu sana..lazima sasa CDM na watanzania wenye akili waanze jenga mazingira kwa CCM kupaya the priceUmdhaniye ndiye, siye. CCM wamempandikiza Pandu Kificho. Kuna unafiki mkubwa sana unaoendelea ukiwapo wa malipo ya shilingi 420,000 kwa wajumbe wa ZANZIBAR kwa kikao cha siku moja while wajumbe wa bara wanalipwa 300,000 per day. Kificho ni BOYA tu
Pandu ameri kificho ni spika wa miaka 18 sasa na ana busara sana kuliko maspika wote tz,amekutana na misukosuko mikubwa sana ya cuf na ccm wakati huo watu wanapigana na kuuana kwa siasa,anaepinga hamjui kificho kamuona kwenye bunge la katiba tu
Pandu Ameir kificho amekaa kwenye kiti cha spika kama miaka 23 tangu awamu ya salmin,Amani, na sasa ni Shein.
Amekumbana na misukosuko mingi sana kwenye siasa zaid ambazo hata bunge la mh6 halifikii, ana uzoefu wa kutosha na sasa anamjua nani ana hoja nani anaporojo.
Si MTU wa kuburuzwa na chama
Haihitaji muda mrefu kumjua mtu mzuri na mbovu mnapokutana.
Mbona makinda alipotajwa tu tukajua imekwisha?
Huyu bwana yuko vzuri angempata mtu kama Sitta afanye nae kazi tutaongea mengine.
CCM ni Msitu wa Vipaji na Hekima. Chadema waliona ni Haramu kumteua Mh. Pandu Mwenye Diploma ya Sheria na kumuacha Mh. Prof Mahalu eti kwa kuwa ana elimu ya Zaidi, lakin waliona ni halali kumteua Form Six Failure Mbowe Kugombea Urais na Kumuacha Prof. mwesiga Baregu 2005.[/QUOTE
This is simple arithmetic, Mbowe is not booksmart but very intelligent Prof Baregu is booksmart but not intelligent, you dont need to be a rocket scientist to pick Mbowe and drop the bookworm Baregu.
Weka hapa hiyo simple arithmetic ili wataalamu wa hizo hesabu to Prove hiyo Formula, isije ikawa hiyo Formula imetengenezwa na Mtei!
Pia kumbuka Intelligent hawezi kupata zero form six labda kama vigezo vya Chadema kumtambua Intelligent ni so special. Inawezekana huo u Intelligent wa Mbowe ndio uliomfanya kumlazimisha Prof Baregu ajitoe kwenye Tume ya Warioba kwa madai imejaa wababaishaji na wasio na weledi lakini leo hii amekuwa mtetezi mkubwa ya kazi ya ' wababishaji na wasio na weledi'. ETI Mbowe ni Intelligent halafu Prof BAREGU sio Intelligent!!!!!!!!
Kichwa chako kimejaa minyoo! Mbona 2005 alichaguliwa "mzee wa gentlemen degree" na kuwaacha wasomi maprofeseri?
Nyie ndio mjibu hiyo hoja maana mnahoji mkuchaguliwa Pandu na kuachwa Mahalu as if Elimu ndio kigezo pekee cha kuchaguliwa.
Pia kumbuka wakati Dkt Jk anamaliza Form six 1974 alipata Alama za kwenda chuo kikuu moja kwa moja ( kumbuka muda huo chuo kilikuwa kimoja tu ) halafu yule wenu akaanza kutafuta Certificate pale Kipalapala Seminary kwa kuwa hakufikisha alama za kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es salaam japo wote A level walisoma Masomo ya Uchumi..
Kwenda chuo kikuu mapema sio hoja ila chuo alisoma nini na kiasi gani alifaulu pia kwa muda gani ,kama sikosei MH Rais ni kati ya ya watu ambao degree yake ilichukua muda mrefu sana kuliko kawaida, sababu sizi elewi lakini lazima kuna kitu nyuma ya pazia mwenye uelewa juu ya hili la mheshimiwa kuchukua muda mrefu na daraja la ufaulu naomba atueleze
hakika katika kutafakari maspika mbalimbali waliowahi kusimamia bunge letu kwa haki busara na *usawa* kati ya s.sitta a.makinda p.msekwa hakika sijawahi iona *hekima ya ajabu* aliyonayo mh.p.kificho,ukizingatia yeye si msomi sana elimu yake ni ya kidato cha 6 na diploma,au ni nani awezaye pinga na asiyeliona hili?
Nyie ndio mjibu hiyo hoja maana mnahoji mkuchaguliwa Pandu na kuachwa Mahalu as if Elimu ndio kigezo pekee cha kuchaguliwa.
Pia kumbuka wakati Dkt Jk anamaliza Form six 1974 alipata Alama za kwenda chuo kikuu moja kwa moja ( kumbuka muda huo chuo kilikuwa kimoja tu ) halafu yule wenu akaanza kutafuta Certificate pale Kipalapala Seminary kwa kuwa hakufikisha alama za kujiunga na Chuo kikuu cha Dar es salaam japo wote A level walisoma Masomo ya Uchumi..