Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Hii pesa kama ni wewe inaishia kwenye nini na nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bongo don sitakuja kuisahau yan...ile sio pombe aiseeBongo Don ndogo 3500, zanzi ndogo 5000, mishikaki mitatu na pilipili 1500
hahahahaVocha ya JF na sahani ya birian
mkeka umetiki aiseeBet pawa
Arsenal vs man u_ both team to score
ukiizoea haina shida, mi day 1 kuinywa nililewa siku mbili....nikaona hii mbona inabana matumizi nikinywa Jmosi jpili inapita 😁bongo don sitakuja kuisahau yan...ile sio pombe aisee
nililewa hiyo ilipofika muda wa kurudi.nikawa napapita home..nilizurula mpak kuna kucha ndo akili ikatuliaukiizoea haina shida, mi day 1 kuinywa nililewa siku mbili....nikaona hii mbona inabana matumizi nikinywa Jmosi jpili inapita 😁
juice za wageni vipKilo moja ya nyama 7000,nyanya 500,mboga za majani fungu 3 kwa 500...juices mbili za wanangu wawili za bukubuku...Vingine vipo ndan.imeisha iyo
Wanangu kwanza...nikilazimisha maana yake ninunue za jerojero ziwe nne ila nawe upatejuice za wageni vip
Karibu sana....😁nililewa hiyo ilipofika muda wa kurudi.nikawa napapita home..nilizurula mpak kuna kucha ndo akili ikatulia
nyama gani ya bei hiyo??nyama kg1 7000
hoho&karoti 1000
viazi mviringo 1000
mayai 3 900