Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Tatizo la mashirika ya serikali ni kuwa wafanyakazi wa hayo mashirika ni wafanyakazi wa serikali...
Yatakiwa mashirika yajiendeshe kwa pesa yao, yakipata hasara yapunguze wafanyakazi
Tatizo linaanzia juu kwenye uongozi.
Wakurugenzi na hizi bodi za wakurugenzi za haya mashirika haziko competetive, hazina ubunifu na wanatumiwa vibaya na wanasiasa na wafanyabishara wakubwa
Ukienda private sector ukiona kampuni inafanya vizuri angalia management lazima utakuta iko vizuri kwenye kusimamia na kuongoza mambo
Wakurugenzi na hizi bodi za wakurugenzi za haya mashirika haziko competetive, hazina ubunifu na wanatumiwa vibaya na wanasiasa na wafanyabishara wakubwa
Ukienda private sector ukiona kampuni inafanya vizuri angalia management lazima utakuta iko vizuri kwenye kusimamia na kuongoza mambo