Panga pangua ya mashirika ya umma hebu tuangalie kwa darubini

Panga pangua ya mashirika ya umma hebu tuangalie kwa darubini

Tatizo la mashirika ya serikali ni kuwa wafanyakazi wa hayo mashirika ni wafanyakazi wa serikali...

Yatakiwa mashirika yajiendeshe kwa pesa yao, yakipata hasara yapunguze wafanyakazi
Tatizo linaanzia juu kwenye uongozi.

Wakurugenzi na hizi bodi za wakurugenzi za haya mashirika haziko competetive, hazina ubunifu na wanatumiwa vibaya na wanasiasa na wafanyabishara wakubwa

Ukienda private sector ukiona kampuni inafanya vizuri angalia management lazima utakuta iko vizuri kwenye kusimamia na kuongoza mambo

 
Tatizo linaanzia juu kwenye uongozi.

Wakurugenzi na hizi bodi za wakurugenzi za haya mashirika haziko competetive, hazina ubunifu na wanatumiwa vibaya na wanasiasa na wafanyabishara wakubwa

Ukienda private sector ukiona kampuni inafanya vizuri angalia management lazima utakuta iko vizuri kwenye kusimamia na kuongoza mambo

Sababu hakuna permanent jobs.
Wafanyakazi wa serikali wakishapata kazi wao ni kwenda kusign na kupiga porojo.
Wafanyakazi wrngi wa serikali ambao ofisi zao hazina attendance register ya umeme hutumia wenzao kusaini
 
Tatizo linaanzia juu kwenye uongozi.

Wakurugenzi na hizi bodi za wakurugenzi za haya mashirika haziko competetive, hazina ubunifu na wanatumiwa vibaya na wanasiasa na wafanyabishara wakubwa

Ukienda private sector ukiona kampuni inafanya vizuri angalia management lazima utakuta iko vizuri kwenye kusimamia na kuongoza mambo

Na wengi ni vilaza na walamba ma.kalio🤣ashakum si matusi
Hizo nafasi wamezipata kwa kujikombakomba sana
Huwezi ona utendaji(performance) kwa mtu kama huyo🙏
 
Sababu hakuna permanent jobs.
Wafanyakazi wa serikali wakishapata kazi wao ni kwenda kusign na kupiga porojo.
Wafanyakazi wrngi wa serikali ambao ofisi zao hazina attendance register ya umeme hutumia wenzao kusaini
Attendance register za umeme ziko nchi nzima,wanaziua tu
Huku niliko Ina mwaka na nusu ilipiga shot,na haijawahi rekebishwa
Kifupi habari iliishia hapo🤣🤣
 
Kuna akili za kiafrika, kitanzania, kikanda, kimataifa, Watanzania hasa viongozi kwenye eneo la siasa hawana akili maridhawa na ambazo ni mtambuka. Any kind of thinking in any case has to be contextualized on suitability, relevance, validity, we have infant states with everything being infant, you can't bring Things or models from western world foolishly, look at structures, maturity, critical thinking and analysis, moral, constitutionality, democracy state. Rule of law. Institutional autonomy. Gradual transformation, with closer review, monitoring and evaluation, transformation with hybridization in the process is very vital.
 
Attendance register za umeme ziko nchi nzima,wanaziua tu
Huku niliko Ina mwaka na nusu ilipiga shot,na haijawahi rekebishwa
Kifupi habari iliishia hapo[emoji1787][emoji1787]
Tatizo ni tamisemi

Ili watu wafanye kazi vizuri waondoe kipengele cha ajira ya kudumu, watu wapewe mkataba wa miaka 5 renewable
 
Hii panga pangua ya mama kuhusu mashirika ya umma inatia shaka. Kwanza tujiulize ni mashirika gani ya biashara yanaendeshwa na serikali. Mengi yalikwisha binafsishwa zamani kabisa enzi ya mkapa.
Kwenye hii awamu binafsi naona ni wapiga dili watupu. Mashirika mengi yaliyobakia serikalini yale ya kudhibiti 'regulatory' bodies sasa unayatishia kubinafsisha au kuyaachs yafe kama hayawezi kujitegemee wakati yenyewe yanafanya kazi za kiserikali tu?

Kuna maeneo tuliona hatuwezi kuachia sekta binafsi kwa sababu yanahusika na uhuru wetu au ni muhimu lakini hakuna muwekezaji anataka kubeba hiyo risk. Sasa serikali ikija na lawama kwamba shirika kama TPDC eti litaachiwa life kama haliwezi kujiendesha hiyo ni akili gani. Hapo sikutaka kufifisha harakati za kutafuta mafuta na gesi au kudhibiti uingizaji wa mafuta nchini? Ukiangalia shirika kama TTCL ni shirika muhimu sana kwa umma lakini makampuni binafsi yanataka life ili kusiwe na uwekezaji wa umma kwenye eneo hilo. Tuliona awamu ya tano juhudi ya kuimarisha ttcl na stamico hata kulikomboa shirika la ttcl kwenye ubinafsishaji bandia na kukomboa hisa zake kwenye airtel zilizokua zimeporwa.

Ajabu ni kutishiwa TTCL kutelekezwa ife kama haiwezi eti kujiendesha. Tunajua kila wakati ttcl kwenye ushindani inakuja na vifurushi vya bei ya chini waziri wa sasa Nape amekua akiingilia eti wapandishe kwa kua ushindani wao sio fair kwa kampuni zingine za simu. Huo ni uingiliaji wa ajabu sana kwa waziri. Ukienda huko hazina unakuta msajili wa mashirika na hisa za serikali kwenye mashirika mtu alitemwa na jpm samia kamrudisha. Kwa kweli ni mashaka matupu.

Hili la kufikiri sekta binafsi ndio ya kuachiwa kila kitu ni hatari sana. Sekta binafsi wanaweza kujijali wao tu lakini sio kufanya kazi ya kuendeleza nchi. Kwanza sekta binafsi yetu bado ni kama mawakala tu wa biashara kubwa kimataifa. Serikali isikwepe majukumu yake kwa lengo la ubinafsi wa watendaji wake kama wanavyotaka kufanya kwa bandari.
Naona vyeo vinaenda kupotea umekuja kujitetea huku.

Ni hivi Rais Samia sio mtu wa kubeba wajinga,kama mlikubaliana mlete faida lazima ionekane mezani,huwezi pisha na mbaya zaidi mtaanza kuomba kazi nyie ma CEO.

No more inefficiency awamu ya 6
 
Hili la kufikiri sekta binafsi ndio ya kuachiwa kila kitu ni hatari sana. Sekta binafsi wanaweza kujijali wao tu lakini sio kufanya kazi ya kuendeleza nchi. Kwanza sekta binafsi yetu bado ni kama mawakala tu wa biashara kubwa kimataifa. Serikali isikwepe majukumu yake kwa lengo la ubinafsi wa watendaji wake kama wanavyotaka kufanya kwa bandari.
Una upeo mkubwa sana chief
 
Serikali kuendesha mashirika ni uzwazwa uliopitwa na wakati
Inatakiwa imiliki infrastructure halafu iuze huduma zake kwa mashirika binafsi yashindane kutoa huduma!
Mfano
Tanesco ivunjwe na kuwa National Energy ambayoinazalisha umeme wa Hydro, Fossil fuels au Solar na kuuza unit kwa makampuni binafsi yatakayoshindana kutafuta wateja kwa kuuza umeme kwa gharama nafuu.
TRC ivunjwe na kuitwa National Rail, iwe inamiliki njia na vituo vya treni, halafu inatoza makampuni binafsi kupewa contract za kuleta treni na kuendesha huduma za usafirishaji wa treni.
TTCL pia ivunjwe na kuitwa National Telecom - imiliki infrastructure zote za mawasiliano na kuuza huduma za simu, na mtandao kwa makampuni binafsi tatakayoshindana kupata wateja kwa gharama nafuu
The list goes on and on.....

Na hii inaipa serikali uwezo kusimamia gharama anatozwa mwananchi na makampuni binafsi kwa kuwa na uwezo wa kupunguza gharama zake na kuweza kuwatolea macho makampuni yatakayo kuwa na gharama kubwa wakati wanauziwa huduma na serikali kwa ghrama ndogo, huu ndio mfumo wa nchi zilizoendelea.

Ni ujinga mwingi kwa serikali kung'ang'aniakufanya biashara na wananchi.
Akili kubwa hii.

Ni kama umekazia kwamba kazi ya uongozi yaani regulation ibaki kuwa kazi ya serikali. Na ndiyo serikali hata kwa tafsiri ghafi tu.

Labda tatizo ni pale ambapo wafanyakazi tuliowaweka kama serikali, ili wafanye kazi ya uongozi na usimamizi wanaposhindwa kufanya kazi zao kikamilifu.

Kimsingi inatakiwa tu kila mtu awe ni, kile anachojinasibu kuwa yeye ni;
Mkaguzi afanye ukaguzi
Msimamia sheria aisimamie
Mpokea ripoti afanyie kazi
Na muwajibishaji awe na men.... no ayatumie meno yake barabara
 
Kama ni regulator si yupo PURA ndio anahusika na upstream market ya uchimbaji gesi na mafuta sasa hao TPDC haiwezekani waendeshwe kwa ruzuku wakati Kuna miradi wanafanya na in fact hata bomba la gesi Wana hisa 10% na pia Wana kampuni ya subsidiary inayosambaza gesi na pia kufanya exploration za gesi na mafuta!! Kama hayo Mapato hayawatoshi basi hawana faida Bora ifungwe tu serikali ibaki na PURA kama regulator.

Kwa hili namuunga mkono Mama Samia haiwezekani kampuni hazina tija mfano NIDA kuchapisha tu vitambulisho wameshindwa huku wanalipwa mshahara Kila mwezi Sasa wanafanya kazi gani? Si Bora waambiwe tu watalipwa kutokana na namba ya vitambulisho wanavyotengeneza otherwise ofisi zifungwe na hiyo kazi ifanywe na immigration tu.
Kuna udhaifu wa usimamizi upande wa serikali. Solution ni kuja serikali nyingine sio kuua taasisi au kampuni za umma.
 
Umenena vema kabisa. Mengi ya yanayoitwa mashirika ya umma kwa sasa ni taasisi za udhibiti. Kazi hiyo duniani kote inafamywa na serikali.

Kuna mashirika ya kibiashara machache ambayo tangu hapo awali tuliona ni uendawazimu kuyabinafsisha kwazababu ni ya kimkakati kwa maendeleo ya nchi. Shirika kama TANESCO, TPA, TRC, TAZARA, Vyuo vikuu N.K

Sasa awamu hii kwakweli naanza kuona ni wazi hakuna vision. Tunajaribu chochote kisha tuone kama kitafanikiwa au la. Damage wanayoifanya akina Nape na akina Makamba itachukua miaka mingi kuja kurecover.

Pumzika kwa amani JPM, you had a clear vision, just like Mkapa.
Hayo mashirika pia kuyabinafsisha ni Kumcompromise na National Security, Wapigaji wao hawalioni ilo kabisa wanawaza ulaji tu Shirika kama tanesco ni giant one na wameshanusa budget zake na Operations zake wameona kuna Pesa
 
Sababu hakuna permanent jobs.
Wafanyakazi wa serikali wakishapata kazi wao ni kwenda kusign na kupiga porojo.
Wafanyakazi wrngi wa serikali ambao ofisi zao hazina attendance register ya umeme hutumia wenzao kusaini
Maboss na wasimamizi ndio wa kudeal nao wakinyooshwa hao watawanyoosha wa chini.

Kuwa mfanyakazi wa serikali sio kigezo cha kuhalisha kutofanya kazi kwa weledi

Usimamizi mbovu wa wakubwa katika maeneo ya kazi ndiyo chanzo cha uzembe.

Ndio maana kila shirika na taasisi za serikali kuna uongozi hawa ikiwa wanafanya kazi yao ya kuwaongoza wafanyakazi wafanye kazi kwa weledi tungeona ufanisi


Niliwahi kufanya kazi benki fulani bodi ya wakurugenzi walimpandisha cheo jamaa nafasi ya Director of Business Banking and Small Medium Enterprises baada ya aliyekuwepo kuondoka

Wakampa malengo aliyopaswa ayafikie ndani ya kipindi fulani cha wakati aliposhindwa wakamshusha cheo akarudi alipokuwa akaletwa jamaa mpya akayafikia malengo

Serikali itumie huo mfumo kwenye mashirika ya umma mkurugenzi na bodi yake wawekewe malengo wasipoyafikia shusha vyeo na kama wameiba tupa jela. Wakibanwa hawa watafanya juu chini walio chini yao wafanye kazi kwa weledi. Hii itapunguza mazoea kwenye utendaji.

Tutake tusitake lazima kuna mashirika na huduma ziwe chini ya serikali kwa sababu za kiusalama na huduma nyeti na muhimu wanazotoa. Hata ukienda nchi zenye mfumo wa capitalism kama Marekani na za Ulaya kuna huduma zinatolewa na mashirika yaliyo chini ya serikali tu
 
Kama ni regulator si yupo PURA ndio anahusika na upstream market ya uchimbaji gesi na mafuta sasa hao TPDC haiwezekani waendeshwe kwa ruzuku wakati Kuna miradi wanafanya na in fact hata bomba la gesi Wana hisa 10% na pia Wana kampuni ya subsidiary inayosambaza gesi na pia kufanya exploration za gesi na mafuta!! Kama hayo Mapato hayawatoshi basi hawana faida Bora ifungwe tu serikali ibaki na PURA kama regulator.

Kwa hili namuunga mkono Mama Samia haiwezekani kampuni hazina tija mfano NIDA kuchapisha tu vitambulisho wameshindwa huku wanalipwa mshahara Kila mwezi Sasa wanafanya kazi gani? Si Bora waambiwe tu watalipwa kutokana na namba ya vitambulisho wanavyotengeneza otherwise ofisi zifungwe na hiyo kazi ifanywe na immigration tu.
Cha kujiuliza je hayo mashirika yana umuhimu au hayana. Na kama yalianzishisha kwa lengo mahsusi je si makosa ya uongozi kushindwa kuyadimamia.
 
Back
Top Bottom