Panga top 5 yako ya maji ya kunywa ya chupa

1. Dew Drop

2. Dasani

3. Afya

4. Kisima

5. Kilimanjaro

Nimeiweka Kilimanjaro ya mwisho sijaionea ni moja kati ya maji nisiyoyapenda na sijui kwanini? Wakati wengine wanayapa sifa nyingi kuwa ni Maji mazuri lakini mimi huwa siioni test yake.
 
1.Kandolo
2.Dawasco




9.kalinya
10.tingisha
 
Mimi huwa sinywi maji,nikisikia kiu nakunywa bia mwili wenyewe utajua jinsi utakavyo convert hizo bia kua maji
 
Mimi yangu ni hii:
1.Kilimanjaro
2.Afya
3.Uhai
4.Dasani
5.Masafi
Wewe ni mdarisalama. Na hujui kuwa haya maji yanauzwa kikanda na hata hapo dsm ulipo kuna sehemu wanauziwa maji ya mkwawa na sehem zingine hayapo.

Katafiti kwanza ndio uje na bandiko lako
 
1.Sequa
2.Dewdrop
3.Udzungwa
4 Malagarasi
5. Bado sijaona maji ya kuyashindanisha na hayo hapo juu

Maji mazuri lazima PH iwe 7.0
 
Unayaseme Dew drop nadhani
 
Drop of Zanzibar
Zan Aqua
Zenjy
Zanzibar cool
Kilimanjaro
 
Kilimanjaro ndo the best kwangu, tena lile la 1.5L.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…