Panic as China Puts Kenya SGR Funding on Hold

We should even stop accusing Uhuru Kenyatta because I have realised he is smarter than the majority Kenyans.😂😂😂 If he can fool them on the construction of a double deck expressway of 30km then trust me he is leading citizens with the lowest IQ in Africa.
 
Hahaaa.. hiyo naikumbuka, hoja yao eti Nairobi imejengeka na inazidi kujengeka zaidi ya mipaka ya county. Kwa uelewa wao Nairobi ina kua kama mti [emoji2]
alikuja na screenshot lakini bado ilishindwa kuonyesha alikopata 2,504km sq za ziada za nairobi metro.[emoji23]
 
alikuja na screenshot lakini bado ilishindwa kuonyesha alikopata 2,504km sq za ziada za nairobi metro.[emoji23]
[emoji2] [emoji2] free comedy...Ndyo maana ikipita siku sijaingia humu nahisi ku umwa. Sasa hii ya leo ni mupya kuna Ke Kms [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu jamaa mahaba yamemzidi kimo
Ameishi Nairobi 15 years hajawahi fika Kibera😂😂😂😂 Katoa povu kama Slayqueen fulani hivi!..😂😂😂 Mambo huku ni 🔥🔥🔥🔥🔥
 
Hamna Mkenya ametetea jambo hili la deni kuwa juu. Pengine mambo mengine
Mbona mnatetea kibera usiku na mchana wakati watz tunawaulumia na kupiga kelele kuwa kibera ni zaidi ya jehanamu kuwa Kenya inatia aibu nyinyi mnatetea jubilii
 
Very long
 
Ukiona ulioni shati unalolitafuta chumbani kwako ujue litakuwa ndilo ulilolivaa!!! Sasa jamaa anaitafuta KIBERA wakati yeye mwenyewe anaishi kibera tena kila ukikutana na wakenya 10 Nairobi basi ujue 7 wanaishi bibera ndo maana yule mchina aliwaita wachafu sana
 
Tatizo jamaa ajui hapo anapoishi sikuzote ndiyo kibera yenyewe hivyo anaenda kuitafuta kwingine ndo maana anasema ajui ilipo
 
Duh!! Hili siyo povu! Hapa umetapika JIK kiboko ya madoa

30Kms za Nai ni ndefu kuliku za Dar [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Teh te te te!!?? Hapo nisawasawa hapo ni sawasawa na kusema kilo moja ya pamba ni nzito kuliko kilo moja ya mawe
 
alikuja na screenshot lakini bado ilishindwa kuonyesha alikopata 2,504km sq za ziada za nairobi metro.[emoji23]

Ahaaa haaa haaa
Hawajui dimensions hao, maana square kilometre moja ni KUBWA saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…