Elewa asilimia kubwa bunju ni wenye vipato vya kati na chini kushuka chini .na wengi familia zilizotoka ushenzeni kujenga huko.
Na ukaribisha makundi yao wanapotokea wakiaribu.mfano leo mbagara wakiona wanafatiliwa wanakaribishwa na marafiki zao na maeneo hayo kuna vijana wenzao walishawai kukaa mbagara
Unao wazungumzia ndiko ni meishi hizo sehemu.