Niko naangalia EWTN Tv
bofy gyuard mwafrika
Hapo kwenye red pana akisi kua wewe ni mtu mbaguzi sana ndio maana mawazo yako yametawaliwa kwa kuangalia race ya mtu.Niko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiea na body guard mwafrika.
Acha kukashfu dini za watu basi. Kama dini yako ni bora kuliko nyingine na hamvai Barakoa hilo ni lenu, na wao wana haki ya kuvaa Barakoa kwa hiyo kuwaambia wanaziabudu ni kuwakosea heshima.hao wanaompokea nao je? hata misa zote havai barakoa tofauti na huku kwetu barakoa imekuwa ibada
Niko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiwa na body guard mwafrika
Subiri Jumapili ijayo akipewa nafasi kusalimu waamini kwenye moja ya makanisa yetuTofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Weka pichaNiko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiwa na body guard mwafrika
Hivi Nyie kwanini huwa mnapenda kutumia uongo ku cement upumbavu wenu. Haya picha hizi hapa...View attachment 1719286View attachment 1719287View attachment 1719288View attachment 1719289View attachment 1719290View attachment 1719291View attachment 1719292View attachment 1719293View attachment 1719294View attachment 1719295View attachment 1719296
Wewe ni mjinga Sana , Nani kakwambia rangi ndio inatambulisha nationality. Ndio maana CCM itawatawala milele.Papa si walinzi wake ni kutoka uswiss? Au utaratibu umebadilika hadi kuwepo wabongo siku hizi au huyo mtu mweusi nae ni mswiss?
Anaangalia TBCMataga ni viumbe waliokosa akili hapa Tanzania sijui habari huwa wanaokota okota wapi na kuzileta hapa JF
Usimlaumu mwana CCM huyo.Bofy gyuard ni mnyama gani?
Una presha kama umeshikwa makalio, mfyuu