Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Uzushi ni dhambi kama dhambi nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjinga Sana , Nani kakwambia rangi ndio inatambulisha nationality. Ndio maana CCM itawatawala milele.
Huyu ni Embolo raia wa Uswis na anachezea timu ya taifa ya uswis. Amezaliwa na kukulia Swiss.
View attachment 1719304
Hivi mnafaidika nini kusema uongo??Niko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiwa na body guard mwafrika
Naona kichwa hujaelewa kabisa hilo eneo la Iraq kurdistan ni tofauti na hizo za Iraq.Iraq kurdistan ni eneo huru ndani ya Iraq alienda baada ya kutoka hapo na alusafiri kwa ndege ya IraqHivi Nyie kwanini huwa mnapenda kutumia uongo ku cement upumbavu wenu. Haya picha hizi hapa...View attachment 1719286View attachment 1719287View attachment 1719288View attachment 1719289View attachment 1719290View attachment 1719291View attachment 1719292View attachment 1719293View attachment 1719294View attachment 1719295View attachment 1719296
Niko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiwa na body guard mwafrika
Wewe ng'ombe hizo picha baadhi ni za leo akiwa KurdistanNaona kichwa hujaelewa kabisa hilo eneo la Iraq kurdistan ni tofauti na hizo za Iraq.Iraq kurdistan ni eneo huru ndani ya Iraq alienda baada ya kutoka hapo na alusafiri kwa ndege ya Iraq
Wewe ni mjinga Tena Mpuuzi,Sasa kuniita mjinga umefaidika na nini? Hujui kwamba hao wachezaji wa swiss wengi ata passport za uswiss hawana. Ukizaliwa Switzerland haikufanyi uwe mswiss kama wazazi wako sio waswiss ushahidi upo sana xhaka ni team captain wa nation team lakini hana passport ya uswiss. Kwa hiyo swali langu bado liko pale pale na ujinga wangu. Sheria ya Vatican walinzi wa Pope ni lazima awe mswiss mwenye passport na amepitia mafunzo ya kijeshi uswiss ambayo huwa ni lazima Kwa umri fulani kwa vijana labda kama ana tatizo la kiafya. Hiyo ya rangi Usiwe na shaka nimeuliza kama nae ni mswiss mweusi mwenye vigezo hivyo hapo juu. Kumbuka hakuna anaejua kila kitu na kuuliza sio ujinga. Hivyo usiniite mjinga kabla hujamuuliza mama yako. Naweza kua baba yako ujue
Ameshapata chanjo, sawa na mtazamo wa Maaskofu wa TEC kusisitiza sayansi katika kukabiliana na covd19.Niko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
tuendelee kujifukiza tuuNiko naangalia EWTN Tv
Tofauti na msisitizo wa maaskofu katoliki wa Tanzania wanaosisitiza uvaaji barakoa na social distance
Papa ametinga Iraq kurdistani hajavaa barakoa na wanaompokea hawajavaa barakoa na yuko katika msongamano mkubwa wa watu
Kingine kilichonifurahisha kashuka kwenye ndege akiwa na body guard mwafrika
Iga ufe
Wewe ni mjinga Tena Mpuuzi,
Unataka tukuwekee passport ya Xhakha.??
Anakuwaje raia na Hana passport ? Mtu anachezea National team unasema sio raia una akili kweli wewe
Si unajua tena mambo ya kujipendekeza na kuonesha Magufuli yuko sahihi!Hivi Nyie kwanini huwa mnapenda kutumia uongo ku cement upumbavu wenu. Haya picha hizi hapa...View attachment 1719286View attachment 1719287View attachment 1719288View attachment 1719289View attachment 1719290View attachment 1719291View attachment 1719292View attachment 1719293View attachment 1719294View attachment 1719295View attachment 1719296