Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Ni upuuzi kuukimbia ukweli. Face it and make the appropriate decision.
Ukweli upi ndugu..? Porojo za mitandaoni ambao kila mtu anaweza andika...??

Hebu nikuulize ni lini alisema hayo? Alimsapoti mtu gani..? Nani alikwambia micro-chip ni alama ya mpinga Kristo ? Hii umetolea wapi..?

Halafu mbona kitabu cha apocylpse cha Yohana hakiongelei mambo hayo..? Huu upuuzi umeutolea wapi..??

Tatu wewe ni dhehebu gani..?
 
Kwanini JF inaabishwa na thread za kipumbav namna hii..
Kwa hiyo Pope Francis aliyesema maneno hayo ni mpumbavu. Remember that I have just reapeated what he said. Sana sana ungenishukuru kwa kuufikisha ujumbe wa Pope kwako.Badala yake unanipiga madongo, funny.
 
Kwa hiyo Pope Francis aliyesema maneno hayo ni ********. Remember that I have just reapeated what he said. Sana sana ungenishukuru kwa kuufikisha ujumbe of your Pope
kwako.
Nimekuuliza aliyasema lini...? Wapi..? Alimwambia nani..?
Mbona kwenye catholic credibke sources hamna..?

Halafu nijibu maswali nilyokuuliza hapo juu chap..! Tusipotezeane muda
 
Daaah kweli DINI ni mbaya sana!! Mafundisho ya DINI YAKO ni hatariiii sn kwa Imani YAKO!! Askofu WAKO humjui Leo unajifanya unamjua pope daaah!!
Sunday school Leo mmefundishwa hayo haaaa
 
Hata mimi naweza kuandika huko google kuwa, Chemtrail ni SHOGA aliyekubuhu .., Kisha ukihoji nakuambia nenda google halaandika chemtrail ni shoga...Uone maajabu..
Unacho ongea hakina mantiki kwa kuwa mimi sio shoga na wala sitakuwa shaken. Halafu unashangaza, mbona I have just reported what he said, why the fuss. He felt kwamba it is the right time for us to know. Nilichofanya ni kukuletea ujumbe alio ongea na waumini wengine Vatican ambao na wewe una haki ya kuujua. Kama yeye hakuona kwamba ni siri, kwa nini wewe uuone siri. Ni ajabu sana.
 
Kwa hiyo Pope Francis aliyesema maneno hayo ni ********. Remember that I have just reapeated what he said. Sana sana ungenishukuru kwa kuufikisha ujumbe wa Pope kwako.Badala yake unanipiga madongo, funny.
He will deceive many and having many followers in the world.he claims to take a position of GOD in earth!..he has a title name VICARIOUS FILII DEI means In place of GOD.
 
Mpumbavuuu anapojaribu kuzungumzia Sayansi na conspiracy za kijima inatia kinyaa! Ni aibu uzi huu umewekwa jukwaa la intelejensia!
 
Umeishia darasa la ngapi..? Umeelewa mantiki ya kusema shoga...Ni kwamba huko google anyone can write anything he/she wish to write..

Sasa nijibu hayo maswali nilyokuliza fasta tusipotezeane muda...
 
Mkuu kumbe umepakua kutoka google? umeona sasa ulivyo ingizwa chaka? Google ni universal yaani hata Pumba watu zito kule hivyo source ya information inatakiwa iwe official link. sio uchafu wawa huni tu huko google!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…