Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Waaambie hao waroma wasojua vzr bible
Daah....Umemaliza hata Darasa la saba ndugu..?

Fanya hima umalize hata shule ya msingi bana...Usipende kushinda kwenye lessoni na kula kande siku ya Sabato..Kande hudumaza ubongo ujue!
 
Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili, huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga kristo..every knees shall bow down na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni Bwana..time will tell!
Hii mambo Ellen G White yule kichaa wa Marekani alishaiacha..Sasa nyinyi wafuasi wake mmebaki vichwa tupu....
 
Hizi comments zinafurahisha hatari. Shida zinafanya watu waache kuwaza mambo ya msingi wanaongelea mambo yasiyo na maana kwao.
Nawashauri tuu yafuatayo:
1) Hakikisha unachoongea unakijua vizuri.
2)Usitetee imani yako kwa kukashifu imani ya mwingine. Jifunze mambo ya muhim katika imani yako na usikubali mtu akufundishe ubaya wa imani ya mtu mwingine badala ya kukufundisha juu ya ubora wa imani yako.
3) Kujua kwamba hujui vingine ndio maarifa kuliko kutokujua kuwa hujui ambao ni upuuzi.
4) Kama unasoma kitu chochote (vitabu vya dini n.k) jitahidi kuelewa vizuri usikurupukee
 
Hv Biblia inayowapa kiburi vitabu vyake vimekusanywa na kuwekwa pamoja na nani? Nani kaitunza mpaka vikanisa vya 1900 vikatumia? Huo ni ujinga kutukana na kulidharau kanisa Katoliki. Ni mkristo mjinga pekee anayeweza kulidharau
 
Ishu sio kukubali au kukataa. Hapa watu wanaeleza yaliyo nyuma ya pazia.
Kwani Mungu yupo likizo [emoji47] [emoji351] unalia [emoji30] lia wakati Yesu alipomuona shehetan anatupwa duniani...alitupa Mamlaka ya kumgalagaza [emoji117] Lk 10:18-19 na silaha kakupa [emoji117] Efe.6:12-18...uwe jasiri [emoji109] [emoji106]
 
Kwani Mungu yupo likizo [emoji47] [emoji351] unalia [emoji30] lia wakati Yesu alipomuona shehetan anatupwa duniani...alitupa Mamlaka ya kumgalagaza [emoji117] Lk 10:18-19 na silaha kakupa [emoji117] Efe.6:12-18...uwe jasiri [emoji109] [emoji106]
Naona umeni quote ila unaaddress kitu kingine tofauti na nilicho comment mimi
 
Kwa wasiojua maana ya 666 watakubaliana nawewe. Maana ya 666 ni kaizari Nero We tafsri yako umeipata wapi Utaalamu wakutafsiri maandiko umepata wapi usidandie mambo.
 
Hv Biblia inayowapa kiburi vitabu vyake vimekusanywa na kuwekwa pamoja na nani? Nani kaitunza mpaka vikanisa vya 1900 vikatumia? Huo ni ujinga kutukana na kulidharau kanisa Katoliki. Ni mkristo mjinga pekee anayeweza kulidharau
Hawajii kuwa biblia ni mali ya Kanisa...Tumefanya kuwapa tu na wao wafaidi Neno la Mungu....Na pia hawajui karibu vitabu vyote vya Agano Jipya vipo ili ku-suit mafundisho ya Kanisa..

Daah
 
Acha kuingiza mambo ya dini kwenye sayansi, sasa mbona kwenye biblia hazijasmwa hizo chip , vp hizo chip zina 666, na kwan zinawekwa usoni,
 
Umenena Vema Mwl. watu povu tu lawatiririka bila kutoa ushahidi uliojitosheleza na kuaminika.

Mti mzuri daima hupigwa mawe",.. RC illuminate prove huwezi Sijui wasabato wamefanyaje same kwa waislamu Kila MTU aiishi Imani yake kwa mujibu wa dini take",..

Papa na RC ni wapinga kristo amini mwenyewe ivyo usilazimishe na wengine waamini ukiaminicho maana binadamu tupo kama vidole vya mkono.

Tenda Yale yampendezayo Muumba Biblia Iachiwe wenye kuiamini Qur'an vivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…