Papa Francis amuunga mkono Mpinga Kristo

Hujui kinachoendelea nyuma ya pazia wewe ndio maana unaongea maneno hayo. Google "The secret oath of the Jesuits "uone mpango wao kwako na mimi na ukweli kuhusu wao.
 
Mbona ume-panic ..? Mbona watukana .?

Daah...Aisee
Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!
 
Kumbe Una yako!!! Wewe ni Msabato????
 

NDG KTK MAARIFA. HABARI NJEMA NA ZENYE MAONO YA UKWELI DAIMA HUPINGWA NA WENYE UPOFU WA KIAKILI.

KATI YA WAUMINI WAJINGA DUNIANI NI WAKATOLIKI AMBAO NI WENGI PIA. NI HAWA TU NDIO HADI LEO WANAAMINI YESU NI MWEUPE PEE KAMA MZUNGU NA MALAIKA WANGALI NA MABAWA NA NI WEUPE PIA.

UDHAHIRI WA KILELE CHA UOVU DUNIANI KINABUNIWA VATIKANI NA KUSAMBAZWA NA WESTERN MEDIA. VATIKAN NDIO WALIODESIGN VITA MBILI ZA ULAYA AMBAZO WATU HUZIITA VITA VYA DUNIA. VATIKANI NDIO WALIASISI UISLAMU KWA KUMJENGA MUHAMMED BIN ABDULAT KWALENGO LA KUWATEKA WAARABU NA YERUSLEMU KUWA CHINI YAO.

NDIO MAANA UNAKUTA YERUSALEMU LEO INAKALIWA NA WAZUNGU KIMABAVU KWAKUJIFANYA WAISRAEL NA SAUDIA INAKALIWA NA WAZUNGU KWA KUJIFANYA WAKURESH NA MABEDUI A.K.A WAARABU. WAKATI HAYA YOTE NI MAKABILA YA WAKAISARIA NA UTURUKI. KWA MAANA WAISRAEL NA WAARABU WALIKUWA WEUSI TUPU.

HIVYO WASIOELEWA WANADHANI WEWE NDIO MZUSHI KUMBE UNAWAFUNUA MACHO ILI WAWEZE TAZAMA NA KUONA.
 
Kumbe Una yako!!! Wewe ni Msabato????
Wala mimi sio msabato. Nia yangu ni njema sana kwako, laiti ungejua. Nia ni kukufumbua macho ili uweze kuujua ukweli.Umeingizwa mkenge sana rafiki yangu kama uko huko.
 
Daah....
 
Wala mimi sio msabato. Nia yangu ni njema sana kwako, laiti ungejua. Nia ni kukufumbua macho ili uweze kuujua ukweli.Umeingizwa mkenge sana rafiki yangu kama uko huko.
Bado unarukaruka na hizi thread zako za kipuuzi...

Jibu maswali niliyokuuliza... Wewe si unajua..? Kwanini unakwepa kujibu..? Mbona ni maswali rahisi...
 
Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!
Utajuaje kwamba si sahihi. Nani anaamua kwamba hii ni sahihi. Ninachoamini ni kwamba hakuna punguani anayeweza kufungua tovuti. Wanaosambaza uvumi kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao ni waovu wenye nia mbaya ya kuficha uovu wao! Kusambaza taarifa kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao is deliberate brainwashing.
 
Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!
Sijakuelewa hebu weka bayana zako sawia..
 
Hapo kwenye Red

Ila kuna punguani kama wewe anayeweza kuperuzi website za mapunguani halafu akaja kututapikia hapa JF....

Hapo kwenye Blue
Kumbe ulikuwa hujui kuwa watu wanaweza tengeneza website na kueneza Propaganda...? Upo dunia gani wewe..?? Wewe utaendelea zolewa mzobe mzobe na mitandano mpaka siku una kufa...
Nenda shule kasome usikurupukie mambo makubwa...utalipuka



 
Wajinga ndio waliwao.
Hawajii kuwa biblia ni mali ya Kanisa...Tumefanya kuwapa tu na wao wafaidi Neno la Mungu....Na pia hawajui karibu vitabu vyote vya Agano Jipya vipo ili ku-suit mafundisho ya Kanisa..

Daah
 
Mimi nilishakupuuza siku nyingi mbona...
Kama ulishanipuuza mbona sasa unaendelea kusoma hili bandiko. Inaelekea ni kaa la moto kwako.
Hivi buku ngapi wanakulipa Freemason, maana inaelekea uko hapa kupima uelewa wa watu kwenye uwovu wenu mnaotufanyia. Uagent ni mbaya sana, subiri hukumu ya milele kwa sababu ya kuwapotosha watu wa Mungu.
 
Wewe ni P****** [emoji23][emoji23][emoji23][emoji19] Akili Mgando
 
Umeishia darasa la ngapi..? Umeelewa mantiki ya kusema shoga...Ni kwamba huko google anyone can write anything he/she wish to write..

Sasa nijibu hayo maswali nilyokuliza fasta tusipotezeane muda...
Aisee na mimi nasubiri kudesa majibu
 
Mkuu kwa tunaofahamu hila za papa,na jinsi gani anawazuga walimwengu,huwa tunaishia kukaa kimya tuu,maana kwa upande mwingine unaweza onekana kama unaumiza imani za watu,huyo ni jesuit,yaani mason mkubwa aliye vuka hata 33 degrees,yaani ktk rank za hao jamaa alisha vuka kbs
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…