Umenena Vema Mwl. watu povu tu lawatiririka bila kutoa ushahidi uliojitosheleza na kuaminika.
Mti mzuri daima hupigwa mawe",.. RC illuminate prove huwezi Sijui wasabato wamefanyaje same kwa waislamu Kila MTU aiishi Imani yake kwa mujibu wa dini take",..
Papa na RC ni wapinga kristo amini mwenyewe ivyo usilazimishe na wengine waamini ukiaminicho maana binadamu tupo kama vidole vya mkono.
Tenda Yale yampendezayo Muumba Biblia Iachiwe wenye kuiamini Qur'an vivyo hivyo.
Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!Mbona ume-panic ..? Mbona watukana .?
Daah...Aisee
Kumbe Una yako!!! Wewe ni Msabato????Hakuna sababu ya kuhamaki. Kwanza ungekuwa na busara ungenishukuru. Mimi sipati faida yeyote kuleta taarifa hii, I am just helping you to make an imformed decision. Hata hivyo kama unataka kupata taarifa kamili
Google"Pope Francis goes public in support of the RFID implantation. " Kwanza taarifa hii is just a tip in the iceberg, mambo makubwa zaidi na ya kushangaza yatatokea katika kanisa la Katoliki katika siku za hivi karibuni!
Hakuna sababu ya kuhamaki. Kwanza ungekuwa na busara ungenishukuru. Mimi sipati faida yeyote kuleta taarifa hii, I am just helping you to make an imformed decision. Hata hivyo kama unataka kupata taarifa kamili
Google"Pope Francis goes public in support of the RFID implantation. " Kwanza taarifa hii is just a tip in the iceberg, mambo makubwa zaidi na ya kushangaza yatatokea katika kanisa la Katoliki katika siku za hivi karibuni!
Daah....NDG KTK MAARIFA. HABARI NJEMA NA ZENYE MAONO YA UKWELI DAIMA HUPINGWA NA WENYE UPOFU WA KIAKILI.
KATI YA WAUMINI WAJINGA DUNIANI NI WAKATOLIKI AMBAO NI WENGI PIA. NI HAWA TU NDIO HADI LEO WANAAMINI YESU NI MWEUPE PEE KAMA MZUNGU NA MALAIKA WANGALI MBAWA NA NI WEUPE PIA.
UDHAHIRI WA KILELE CHA UOVU DUNIANI KINABUNIWA VATIKANI NA KUSAMBAZWA NA WESTERN MEDIA. VATIKAN NDIO WALIODESIGN VITA MBILI ZA ULAYA AMBAZO WATU HUZIITA VITA VYA DUNIA. VATIKANI NDIO WALIASISI UISLAMU KWA KUMJENGA MUHAMMED BIN ABDULAT KWALENGO LA KUWATEKA WAARABU NA YERUSLEMU KUWA CHINI YAO.
NDIO MAANA UNAKUTA YERUSALEMU LEO INAKALIWA NA WAZUNGU KIMABAVU KWAKUJIFANYA WAISRAEL NA SAUDIA INAKALIWA NA WAZUNGU KWA KUJIFANYA WAKURESH NA MABEDUI A.K.A WAARABU. WAKATI HAYA YOTE NI MAKABILA YA WAKAISARIA NA UTURUKI. KWA MAANA WAISRAEL NA WAARABU WALIKUWA WEUSI TUPU.
HIVYO WASIOELEWA WANADHANI WEWE NDIO MZUSHI KUMBE UNAWAFUNUA MACHO ILI WAWEZE TAZAMA NA KUONA.
Sasa sisi inatuhusu nini na maamuzi yako..?? Umelogwa...!!!Kanisa la Roma nilihama kitambo. Karibuni sana TAG
Bado unarukaruka na hizi thread zako za kipuuzi...Wala mimi sio msabato. Nia yangu ni njema sana kwako, laiti ungejua. Nia ni kukufumbua macho ili uweze kuujua ukweli.Umeingizwa mkenge sana rafiki yangu kama uko huko.
Utajuaje kwamba si sahihi. Nani anaamua kwamba hii ni sahihi. Ninachoamini ni kwamba hakuna punguani anayeweza kufungua tovuti. Wanaosambaza uvumi kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao ni waovu wenye nia mbaya ya kuficha uovu wao! Kusambaza taarifa kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao is deliberate brainwashing.Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!
Sijakuelewa hebu weka bayana zako sawia..Je, uki-google internet ukakuta habari unayo tafuta utakuwa umejiridhisha kwamba habari hiyo ni sahihi? Wahenga walisema, kila yang'aayo si dhahabu!
Hapo kwenye RedUtajuaje kwamba si sahihi. Nani anaamua kwamba hii ni sahihi. Ninachoamini ni kwamba hakuna punguani anayeweza kufungua tovuti. Wanaosambaza uvumi kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao ni waovu wenye nia mbaya ya kuficha uovu wao! Kusambaza taarifa kwamba kuna taarifa za uongo kwenye mitandao is deliberate brainwashing.
Mimi nilishakupuuza siku nyingi mbona...W
Wewe ni wa kupuuzwa.
Kama ulishanipuuza mbona sasa unaendelea kusoma hili bandiko. Inaelekea ni kaa la moto kwako.Mimi nilishakupuuza siku nyingi mbona...
Wewe ni P****** [emoji23][emoji23][emoji23][emoji19] Akili MgandoUnacho ongea hakina mantiki kwa kuwa mimi sio shoga na wala sitakuwa shaken. Halafu unashangaza, mbona I have just reported what he said, why the fuss. He felt kwamba it is the right time for us to know. Nilichofanya ni kukuletea ujumbe alio ongea na waumini wengine Vatican ambao na wewe una haki ya kuujua. Kama yeye hakuona kwamba ni siri, kwa nini wewe uuone siri. Ni ajabu sana.
Aisee na mimi nasubiri kudesa majibuUmeishia darasa la ngapi..? Umeelewa mantiki ya kusema shoga...Ni kwamba huko google anyone can write anything he/she wish to write..
Sasa nijibu hayo maswali nilyokuliza fasta tusipotezeane muda...