Papa Francis aomba radhi baada ya ripoti kudi alitumia lugha ya chuki kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Papa Francis aomba radhi baada ya ripoti kudi alitumia lugha ya chuki kwa wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Hizi majuzi Papa Francis amelazimika kuomba radhi hadharani baada ya taarifa kuvuja kwamba kwenye kikao cha hivi karibuni na makadinali 250 wa Italia, Papa alitukana mashoga.

Kwenye kikao hicho binafsi Papa Francis alitumia maneno makali sana dhidi ya mashoga na ushoga. Zaidi Papa alionya kwamba kanisa limejaa makadinali na Maaskofu mashoga kitu ambacho alikionya kwa vikali sana.

Mazungumzo hayo binafsi yanaonyesha kwamba Papa hapendi mashoga na hapendi ushoga. Lakini cha kushangaza mwaka jana Papa alibariki ushoga kanisani.

Lakini pia unajiuliza, kwenye hicho kikao ambacho kilikua private cha papa na maaskofu na makadinali hiyo habari ya Papa kuwatukana mashoga nani aliivujisha? Ama Papa alikua sahihi kwamba kanisa limejaa mashoga?

Swali langu, je Papa alilazimishwa kubariki ndoa za ushoga huku nafsi yake ikikataa hiyo tabia?
---

Pope Francis Apologizes After Reports That He Used an Anti-Gay Slur​

Francis’ remark came as he spoke against admitting gay men to seminaries during what was supposed to be a closed-door meeting with Italian bishops last week.

Pope Francis has been credited with urging the Roman Catholic Church to be more welcoming to the L.G.B.T.Q. community, but he is reported to have used an offensive term at a recent meeting.

Francis had been taking questions from the bishops at their annual assembly when the question of whether to admit openly gay men into seminaries, or priesthood colleges, came up.

According to several people present at the meeting, who spoke anonymously to Italian news outlets, Francis stated a firm no, saying that seminaries were already too full of “frociaggine,” an offensive Italian slang term referring to gay men.

“Pope Francis is aware of articles that recently came out about a conversation, behind closed doors,” Matteo Bruni, the press office director for the Holy See, said on Tuesday. “The pope never intended to offend or express himself in homophobic terms, and he extends his apologies to those who were offended by the use of a term, reported by others.”

The incident was first reported by the gossip website Dagospia and then picked up by mainstream Italian news organizations.

Francis has been widely credited with urging the church to be more welcoming to the L.G.B.T.Q. community, and he has delivered a mostly inclusive message.

PIA SOMA

- Papa Francis anashtumiwa kutoa maneno ya chuki dhidi ya ushoga katika mkutano wa faragha

Source: New York Times
 
Anazuga tu, alisha sense kanisa lake kugawanyika
 
Hizi tamaduni za magharibi zimetuharibia sana hii DUNIA nchi kama egland, Germany, france na south Africa ushago ni next level nakua disappointed sana

Ila Kuna nchi The play no games ukileta ushogo wanakupoteza MF Afghanistan, Iraq,Iran ,china na northkorea
 
Sasa msimamo wake ni upi kuhusu mashoga? Atoe press release dunia ielewe anatakaje
 
Achumbiwe tu huyu. Ameshasema yuko tyari kuolewa hayo mengine ni maigizo tu
 
Back
Top Bottom