Papa Francis asema kinachoendela huko Gaza sio vita bali ni ukatili unaofanywa na Israeli dhidi ya watoto

ni kweli na huyo natanyahu anafanya mauaji ya kimbari
 
Kasemaje kuhusu mauaji ya oct 7?
 
Lakini,tuliyachokoza mazayuni sisi wenyewe.Ngoja yatufundishe kuwa na adabu njema kwa wengine.Yanapiga balaa.Vita haina macho.
 
Waisrael hawaangalii Huyu muisilamu huyu Mkristo, Makanisa yanalipuliwa kama misikiti, Mapadre wanauliwa kama masheikh, mtu yoyote anaefikiri hapo wanaopigwa ni waisilamu tu ujue Iq yake ni ya kuvukia barabara tu.
Watu wala hawataki kufikiri sawasawa kwenye hili, wao mapenzi yao yapo kwa hao wazayuni tu , ndio madhara ya Kuamini tu bila uthibitisho.
 
Kwamba huyu papa ndio kiongozi wa waislamu, kwani huwa mnalala usiku usingizi ukaisha?! sisi hatuna kiongozi mmoja dunia nzima baada ya mtume muhammad swala na amani ziwe juu yake, nyie endeleeni kuandikiwa visangalaweni na vibrosha sijui broncha kila siku new version mambo yetu tuachieni wenyewe.
 
Papa ambaye alishawahi kuitawala Mashariki ya Kati kwa miaka zaidi ya 200 akiwa na kikosi chake Katili zaidi Cha Crusaders unasema hajui historia ya Mashariki ya Kati? You must not be serious.
 
Mungu ambariki Papa.

Hivi hao magaidi ambao Israel wanasema wanawaua mbona hawatangazwi? Kila siku wanaua watoto kwa kichaka cha magaidi ambao hawatangazwi kuuawa.

Lakini, Netanyahu anachokifanya hivi sasa matokeo yake yatakuja kuonekana baada ya kupita miaka 20+.

Hawa watoto wanaopitia haya mateso, wanaona ndugu na wazazi wakiuawa kila siku na kukosa makazi hawatowaacha Waisrael salama.
Watakaokuja kuteseka ni watoto na vijana wa Israel wa hivi sasa huyo Netanyahu wala hatokuwepo.

Muarabau hajui kusamehe, hiki kisasi kitalipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…