CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,923
hivi qualification ya kuwa Papaa ni nini ....?
Ukiwatuza Wakongomani stejini.........tayari wewe ni Papaa....no other qualifications needed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi qualification ya kuwa Papaa ni nini ....?
Huyu bwana pamoja na khamis hussein na isaac kassanga ndio wanaoendesha easy finance, wala usijaribu kwenda kukopa pale, utakwisha. Anajulikana sana mjini kama tapeli aliekubuhu, anaejigamba kuwa wanausalama na mapolisi wenye wenye vyeo wako mfukoni kwake. Hivi karibuni yeye na ndama mtoto wa ng'ombe walisadikika kuhusika na viungo wa miili vya maalbino! Lakini kama ujuavyo nchi yetu inayoongozwa na JK, usalama kwa raia ni kama hakuna!
Wanna show you majungu yakoje relax mateMajunguuuuuuuuuuuuu...........kila mtu akiwa hana kitu ndio anaonekana Muungwana
Jamani Msilaumu Jack Pemba Si Ajabu Katapeliwa....huyu Muzamil Katunzi Na Papaa Msoffe Ni Viumbe Hatari Sana Hapa Mjini ..walishawahi Kumliza Muisrael; 2million Dollars...sintashangaa Wakimliza Jack....
Details Za Muzamil ,papaa Msoffe Na Wengine Kwenye Network Yao Zinahitaji Muda Sana Kuzieleza...ni Watu Hatari...sasa Sijui Labda Jack Alitaka Kuwaletea Janja Ya London Wakamua Kumpa Kavu Za Uso...usanii Kwenye Jumba La Sanaa ...
Achane Majungu.......kwani ukijua kama alikuwa tapeli au alikuwa mwezi itakusaidia nini? Acheni mtima nyongo...nyie sio police wala nini.............majungu tu.........hapa kwenye huu mtandao anatakiwa great thinkers weeee toka kafanye kazi nyingine
Haya haya! maneno hayoYeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa
Huyo anaitwa Fikir Madinda umemix madesa kakajamani papaa musofe ni mume wa mnenguaji wa twanga pepeta, tena ni dereva wa wizara. Kama ni jambazi au mwizi au kibaka au tapeli hiyo ni project out of business