Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?


Kabisa.mtu aliyetafuta pesa kihalali na si kilaini,hawezi gawa pesa ovyo hv..OVER.
 
we kweli ndumilakutatu!! Mbona nimewahi kuona uzi ukitaka kujua juu ya CV za watu, na ww ukachangia?? Au kwa sababu huwajui!!! Mkuki mtamu..........

Shangaa na ww,kazi kujifanya mwema kumbe hana lolote..na km imemtouch anywe sumu.
 

KIMAMBI MUUZA UNGA ALIPOFARIKI TIBAIGANA ALILIA SANA, hii nimeipenda, haaaaaaaaa, mtoto wake sasa ni mpambanaji na wauza unga loooooo. WAMBEA GROUP IONENI HII JAMANI:shock:. Kw:shock:eli ulimwengu umejaa maajabu.
 
KIMAMBI MUUZA UNGA ALIPOFARIKI TIBAIGANA ALILIA SANA, hii nimeipenda, haaaaaaaaa, mtoto wake sasa ni mpambanaji na wauza unga loooooo. WAMBEA GROUP IONENI HII JAMANI:shock:. Kw:shock:eli ulimwengu umejaa maajabu.

umeona eeeh...!!$
 
Nakwambia! Domo kuuuuuubwa kumbe babake ndio muanzilishi

kuponda wanaouza na kujisifia utajiri wakati utajiri wao wanaojisifu nao na hzo elimu ni za matokeo ya fedha haramu...
mbwembwe nyingiiii...
 
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa

Huyu alikufa alikuwa anaishi kwenye gest chafu akiishiwa inaitwa PACOTO kinondoni, alikuwa na mzigo bunyongo kuzidi wakina mama, sasa hivi magrup yamekuwa makubwa kwenye orodha kumeongezeka toma kisusi aliyemwaga mahela siku ya Fariii Ipupa kesho yake wakamtaiti kumbe alikuwa anadaiwa kishenzi.,
 
Papaa msofe ameshatoka kitambo.kwa utawala huu Wa Jpm hana makeke tena.nimeambiwa na mtu wao Wa karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…