Bajeti ya nishati itapita punde hayo ya bagamoyo yalikuwepo toka enzi za nyerere lakini doa la magufuli pengo benito na pope pius halitafutika kamwe miaka dahari.Kama taifa kilichopo mbele yetu ni Bajeti ya nishati, na eneo la Bagamoyo kuwa mali ya Zanzibar, Sasa ww Magufur umemtoa wap!?
UsishangaeBajeti ya nishati itapita punde hayo ya bagamoyo yalikuwepo toka enzi za nyerere lakini doa la magufuli pengo benito na pope pius halitafutika kamwe miaka dahari.
Cardinal Pengo ni mnafiki wa kiwango cha Dreamliner. Wakati wa Magufuli hakuwahi hata siku moja kumsihi aache kuua watu na kunyang'anya fedha za wafanya biashara. Ila saa hizi Magufuli amesepeshwa jehanam ndiyo ameanza kujifanya eti mtoa ushauri kwa serikaliMimi ni mkatoliki kindakindaki ila huu umoja wa kanisa na viongozi wa aina hii unalitesa sana kanisa takatifu la Yesu.
Kuna ushahidi mkubwa wa papa Piusi wa XI kuwa na mahusiano ya karibu na Benito Mussolini fashisti wa italia mpaka Mussolini akampa papa eneo la Vatican city ilipo leo. Kupitia lateran treat!
Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kuna namna fulani kardinali pengo alihusishwa sana na siasa za Magufuli kiongozi anayependwa sana na wanyongwe wa Tanzania. Kanisa lijitafakari!
Hata mimi ni Mkatoliki tena niko Jimbo la Dar es Salaam, lakini simuamini Cardinal Pengo kwa lolote!! Ni mnafiki sanaWewe wala siyo mkatoliki, hakuna mkatoliki wa 'kindakindaki' wa aina yako. Wakatoliki ni watu wanaowaheshimu sana viongozi wao wa kiroho. Wewe ni heathen tu.
Hii maneno inafanana na ile mbwa mbaya ya sokoni, ile haina soni ya faraghq, haijalisi umbwa dume au ke INABWEKA. UMBWA waheedMimi ni mkatoliki kindakindaki ila huu umoja wa kanisa na viongozi wa aina hii unalitesa sana kanisa takatifu la Yesu.
Kuna ushahidi mkubwa wa papa Piusi wa XI kuwa na mahusiano ya karibu na Benito Mussolini fashisti wa italia mpaka Mussolini akampa papa eneo la Vatican city ilipo leo. Kupitia lateran treat!
Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kuna namna fulani kardinali pengo alihusishwa sana na siasa za Magufuli kiongozi anayependwa sana na wanyongwe wa Tanzania. Kanisa lijitafakari!
Kuna baadhi ya watanzania wanahodhi uhuru wa kuongea, hampendi wengine wasemwe? kuna shida gani viongozi wa dini wakitoa mtazamo wao kama wananchi?, na wasipo ongea tutashangaa maana kazi ya viongozi wa dini ni kukemea uozo katika jamii. ukaribu wake na magufuri una shida gani kwa mfano, mbona samia anawatafuta viongozi wa dini na kuwaweka karibu, au ulitaka amsifia hata kama kaharibu?Mimi ni mkatoliki kindakindaki ila huu umoja wa kanisa na viongozi wa aina hii unalitesa sana kanisa takatifu la Yesu.
Kuna ushahidi mkubwa wa papa Piusi wa XI kuwa na mahusiano ya karibu na Benito Mussolini fashisti wa italia mpaka Mussolini akampa papa eneo la Vatican city ilipo leo. Kupitia lateran treat!
Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kuna namna fulani kardinali pengo alihusishwa sana na siasa za Magufuli kiongozi anayependwa sana na wanyongwe wa Tanzania. Kanisa lijitafakari!
Balozi wa papa alinipa kipaimara mwaka 1990Kuna baadhi ya watanzania wanahodhi uhuru wa kuongea, hampendi wengine wasemwe? kuna shida gani viongozi wa dini wakitoa mtazamo wao kama wananchi?, na wasipo ongea tutashangaa maana kazi ya viongozi wa dini ni kukemea uozo katika jamii. ukaribu wake na magufuri una shida gani kwa mfano, mbona samia anawatafuta viongozi wa dini na kuwaweka karibu, au ulitaka amsifia hata kama kaharibu?
usijinasibu kuwa wewe ni mkatoriki kindakindaki, mkatoliki wa namna hiyo hawezi kutamka neno lolote pindi kiongozi wake anaposema chochote, wakatoliki vindakindaki hueshimu Uongozi (magisterium), wewe ni mpagani kama walivyowengine, huujui ukatoliki ila ulitaka kufikisha ujumbe wako kwenye kivuli cha ukatoliki, endelea na kujifanya mkatoliki wa siasa.