Muzamili Katunzi, then JB, Fikiri madinda, papa Mdsofe, Ndama mtoto ya Ng'ombe et al hawa waliwezesha bendi za kibongo zenye mahadhi ya DRC kuingiza chomeza za kutambulishwa wezi... JK alikuwa analijua kundi la hawa wahalifu ambalo liliibuka zama za Mkapa na IGP wake Mahita kwa kutambua uhatari wa hawa watu,JK mwanzoini mwa utawala wake aliagiza kuwaweka chini ya uangalizi baadhi yao akiwemo Alex Masawe wa AM hotels. Alikuwa akiwafahamu vizuri na wengine ni maswahiba wa kwenye " kahawa" wazee wa mujini, wameliza sana watanzania na wageni, ukienda kule Tegeta ndio utajua kazi za hawa watu kwenye umiliki wa ardhi. Wameharibu ofisi za umma ikiwemo wizara ya Ardhi, TRA,polisi nk. Kuna wengine mtu huwezi kuwadhania kwa hadhi zao ila ni hatari wapo na wabunge wakiwemo wengi toka kaskazini na kanda ya ziwa. Mnakumbuka kisa cha mbunge mmoja wa zamani wa CCM ambae alighushi vyeti akafikishwa mahakamani kule Mwanza, huyo nae ni mtoto wa mjini kinoma sana