Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,508
- 1,566
Hapa Bongo, Ukiwa na pesa na una connection na wakubwa, sheria haina nafasi kwako....
Tunachokiona hapa ni mchezo wa kuigiza tu....mwisho wa siku tutaambiwa, upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha beyond reasonable doubt na kwa hivyo mahakama imemuona mtuhumiwa hana hatia.
Najua mtawaka sana lakini huo ndiyo ukweli...Kesi ya Zombe na wenzie ni mfano hai.
Huyu bwana atakuwa guilty kama tu ame-cross swords na wakubwa na kwa hiyo waamue kumnyamazisha.
Tunachokiona hapa ni mchezo wa kuigiza tu....mwisho wa siku tutaambiwa, upande wa mashtaka ulishindwa kuthibitisha beyond reasonable doubt na kwa hivyo mahakama imemuona mtuhumiwa hana hatia.
Najua mtawaka sana lakini huo ndiyo ukweli...Kesi ya Zombe na wenzie ni mfano hai.
Huyu bwana atakuwa guilty kama tu ame-cross swords na wakubwa na kwa hiyo waamue kumnyamazisha.