maybe. Maana hajachelewa.
Alivyoweka kizuizini tu, binti nae akapata wenye pesa wenzie.
Ilikuwa booongeee ya sherehe.
Yule binti mzuri jamani.
Nimesha connect dots ya hii ishu..
Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..
Hivi ndio Yule mdogo wake kikwete aliemuoa au sio
inamuongezea machungu sana hii
Mungu atamjaalia na yeye ataolewa hukohuko gerezani...
~Hivi ndio Yule mdogo wake kikwete aliemuoa au sio
ndio mwenyewe
Nimesha connect dots ya hii ishu..
Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..
hahhahahahaha, aliyeoa yule mchumba wa papa msofe ni ndugu wa prof.
Na siyo prof mwenyewe.
Nimesha connect dots ya hii ishu..
Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..
~
~
~
~
Papaa Msofe kaua sana ila kwakua watu walikua wanamtaka demu wake ikabidi La profeseli na mdogo wake watie figisu figisu na kumtia lupango watu wakachukua mzigo,ila yule demu ni mkareeee!
Acheni kumsingizia Kikwete, issue ya Msofe ilishafunikwa mpaka mke wa marehemu alipoweza kumuona Pinda ndio akashika bango.
Alex Masawe amekimbia nchi je naye alikuwa na kimada anatakiwa na Kikwete family?
mke wa r.i.p kafanyajee mkuu?
Unajuwa kusoma?
kushika bango ina maana nyingi ulimaanisha nn
kweli kabisa, harusi ilifanyika karimjee hall, reception ikafanyika serena hotel.
Mzee wa kaya ndani siku ya reception.
Picha za huyo demu jamani ziko wapi?! Maana mnasema mkareeee angalau wengine nasi tumuone
Zimo humu za kumwaga mpaka kusaza ila usijaribu kuzitafuta maana unaweza ukamuacha demu wako.
~
~
~
~
Papaa Msofe kaua sana ila kwakua watu walikua wanamtaka demu wake ikabidi La profeseli na mdogo wake watie figisu figisu na kumtia lupango watu wakachukua mzigo,ila yule demu ni mkareeee!