Papaa MSOFE ashindwa kufika mahakamani

Nimesha connect dots ya hii ishu..

Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..
 
Nimesha connect dots ya hii ishu..

Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..

hahhahahahaha, aliyeoa yule mchumba wa papa msofe ni ndugu wa prof.
Na siyo prof mwenyewe.
 
For every action are equal and opposite reaction,mwache akome maana katuchukulia sana hawara zrtu
 
Hivi ndio Yule mdogo wake kikwete aliemuoa au sio
~

ndio mwenyewe

~
Nimesha connect dots ya hii ishu..

Yule prof. Mguse popote lakn sio kweny maslahi ya papuchi..

~
hahhahahahaha, aliyeoa yule mchumba wa papa msofe ni ndugu wa prof.
Na siyo prof mwenyewe.

~
Papaa Msofe kaua sana ila kwakua watu walikua wanamtaka demu wake ikabidi La profeseli na mdogo wake watie figisu figisu na kumtia lupango watu wakachukua mzigo,ila yule demu ni mkareeee!
 
~



~


~


~
Papaa Msofe kaua sana ila kwakua watu walikua wanamtaka demu wake ikabidi La profeseli na mdogo wake watie figisu figisu na kumtia lupango watu wakachukua mzigo,ila yule demu ni mkareeee!

Acheni kumsingizia Kikwete, issue ya Msofe ilishafunikwa mpaka mke wa marehemu alipoweza kumuona Pinda ndio akashika bango.

Alex Masawe amekimbia nchi je naye alikuwa na kimada anatakiwa na Kikwete family?
 
Acheni kumsingizia Kikwete, issue ya Msofe ilishafunikwa mpaka mke wa marehemu alipoweza kumuona Pinda ndio akashika bango.

Alex Masawe amekimbia nchi je naye alikuwa na kimada anatakiwa na Kikwete family?

mke wa r.i.p kafanyajee mkuu?
 
Picha za huyo demu jamani ziko wapi?! Maana mnasema mkareeee angalau wengine nasi tumuone
 
~



~


~


~
Papaa Msofe kaua sana ila kwakua watu walikua wanamtaka demu wake ikabidi La profeseli na mdogo wake watie figisu figisu na kumtia lupango watu wakachukua mzigo,ila yule demu ni mkareeee!

si kweli mkuu.
Alikamatwa wakiwa poa na huyo mchumba wake.
Alikaa huko gerezani muda kidogo ndio huyo binti akaanza uhusiano na kiwadinyo.
Aliakuwa bado anaishi kwa papaa musofe, taarifa zikafika gerezani.
Binti akafukuzwa kwa papaa musofe.
Ndio baadae akaanza process za kuchukuliwa jumla.
Ila prof tutamsingizia kusema kamtia jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…