daaa kweli mke si ndugu ni rafiki tu!!!!!!
hakuwa mke mkuu. Wakikuwa wanaishi tu kimjini mjini.
sasa ndo aende kufunga ndoa na mwanaume mwingine katika hiki kipindi kigumu cha mwenzie!!!!!!!?????
Umeuwa hahahahahaha nimecheka sasa balaa meli airportkesi ya mauaji hiyo mkuu, haina kutoka leo wala kesho.
Bora hakufanya unafiki akaamua kuolewa kabisaaa.
Kuliko wengine wanajifanya wanasubiri kumbe wanachakachua vya kutosha.
Kumsubiri mwenye kesi kama yake ni sawa na kusubiri meli airport.
Umeuwa hahahahahaha nimecheka sasa balaa meli airport
~Wakuu hebu wekeni hizo picha tumuone huyo mwanamke mkali aliolewa tumuone!
Picha za huyo demu jamani ziko wapi?! Maana mnasema mkareeee angalau wengine nasi tumuone
Wakuu hebu wekeni hizo picha tumuone huyo mwanamke mkali aliolewa tumuone!
duuuuuuuu!!!!!!!!!!! mtoto kweli kifaaa
kiwadinyo amependa kweli.
Send off kaigharamia hadi usafiri wa wanandugu kwenda mwanza na kuja kwenye ndoa.
Kiislam, sherehe ya ndoa ina gharamiwa na familia ya mke.
Ila hii, ndugu wa mke walipewa kadi tu waje kuhudhuria ndoa.
Kila kitu kiligharamiwa na jamaa.
Kulijaa mapedeshee wa ukweli
kiwadinyo amependa kweli.
Send off kaigharamia hadi usafiri wa wanandugu kwenda mwanza na kuja kwenye ndoa.
Kiislam, sherehe ya ndoa ina gharamiwa na familia ya mke.
Ila hii, ndugu wa mke walipewa kadi tu waje kuhudhuria ndoa.
Kila kitu kiligharamiwa na jamaa.
Kulijaa mapedeshee wa ukweli