kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Wanamwita Mzee wa kunyunyiza a.k.a Sadio Mane wa east Africa.
Mpira unaompa shida KIBU DENIS ndio huohuo SAKHO anauchezea atakavyo.
Kiukweli huyu jamaa anajua ni msaada mkubwa kwa Simba SC kama watampata kocha mzuri anaejua kuwatumia wachezaji
Kushindwa kwa Pablo kuwatumia vyema wachezaji ndio kumeifanya Simba SC ishindwe kutamba msimu huu, Ila kama ni wachezaji wapo wakutosha na timu isiingie kwenye mkenge wa kuacha wachezaji wengi kwani kina SAKHO wapo wengi klabuni.
Acha SAKHO aendelee kutoa burudani kipindi hiki MBAPPE na NEYMAR wakiwa likizo.
Mpira unaompa shida KIBU DENIS ndio huohuo SAKHO anauchezea atakavyo.
Kiukweli huyu jamaa anajua ni msaada mkubwa kwa Simba SC kama watampata kocha mzuri anaejua kuwatumia wachezaji
Kushindwa kwa Pablo kuwatumia vyema wachezaji ndio kumeifanya Simba SC ishindwe kutamba msimu huu, Ila kama ni wachezaji wapo wakutosha na timu isiingie kwenye mkenge wa kuacha wachezaji wengi kwani kina SAKHO wapo wengi klabuni.
Acha SAKHO aendelee kutoa burudani kipindi hiki MBAPPE na NEYMAR wakiwa likizo.