Pape Osman Sakho

akiwa anakimbia na mpira ni kama ananyata kumbeeeeeeeee 🦁🦁🦁🦁
 
Overrated player,siku zote anafunga magoli ambayo hayana faida kwa timu yake

Mechi hizi alizofunga ni kama friendly match kwenu

Yaani muda ambao timu inakutegemea uisaidie kufunga magoli ili ipate faida,muda huo anakuwa busy kufanya rubbish things
 
Yet ndio player anayeongoza kwa assist ligi hii....
Asa hao wasio na mammbo membi wanafanya nini.
 
Makolo bwana hakika kazi mnayo mnatafuta kila namna ya kufarijiana baada ya kuporwa vikombe vyote.
 
Amecheza dhidi ya Yanga zaidi ya mechi 3! Zote hakuwahi kufurukuta mbele ya mabeki wakatili kama Kibwana Shomari, Juma Shaban, Yannick Bangala, na wengineo wengi.

Hivyo kwangu mimi namchukulia tu kama mchezaji anayecheza na jukwaa.
Unatumia nini kufikiria?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni Mshabiki wa Yanga ila ni moja ya kijana ninae mkubali ana kipaji ( Skills) anahitaji kocha wa kumsaidia ili awe bora zaidi kama Nabi,

Akifanya maboresho kadhaa atakuwa sawa sana, aache kucheza na jukwaa, pili asipende kukaa sana na mpira (Kulamba sana chenga huu ni mpira wa kizamanj) hii ni hatari kwa afya yake, punguza mmoja au wawili kutafuta space toa pasi, hii unapenya msitu itakuja kumcost sana.
 
Ingawa hujachangia kishabiki ngoja nikukosoe kidogo

Hakuna tatizo kwa mchezaji kutembea na mpira, Labda kama uwezo ni mdogo
Refer to Lionel Messi wa PSG ya ufaransa
 
Mimi ni Mshabiki wa Yanga ila ni moja ya kijana ninae mkubali ana kipaji ( Skills) anahitaji kocha wa kumsaidia ili awe bora zaidi kama Nabi,

Akifanya maboresho kadhaa atakuwa sawa sana, aache kucheza na jukwaa, pili asipende kukaa sana na mpira (Kulamba sana chenga huu ni mpira wa kizamanj) hii ni hatari kwa afya yake, punguza mmoja au wawili kutafuta space toa pasi, hii unapenya msitu itakuja kumcost sana.
Ingawa hujachangia kishabiki ngoja nikukosoe kidogo

Hakuna tatizo kwa mchezaji kutembea na mpira, Labda kama uwezo ni mdogo
Refer to Lionel Messi wa PSG ya ufaransa
Mesi tena ndugu, huwezi fananisha na ulaya, hali ni tofauti sana, kimiundo mbinu, waamizi, nk huyo mesi ukimleta hapo Manungu hawezi kuparform
 
Sakho anastahili kupewa hisa klabuni na ajengewe sanamu nyuma ya goli katika uwanja wa bunju arena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…