CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sasa ndugu zangu mbona mnanionea kiasi hiki! Kwani aliyewaita hili jina la "mbumbumbu" nyinyi mashabiki wa simba, ni mimi Tate Mkuu , au ni Mwenyekiti wenu wa zamani Mh. Ismail Aden Rage?
Mimi si huwa nawakumbusha tu ili msisahau! Mbona na nyinyi huwa mnatukumbusha yale maneno ya kukera ya Luc ya kutufananisha sisi mashabiki wa Yanga na Manyani lakini hatulalamiki!
Ana kiatu Cha dhahabu .Hakuna mchezaji apo
Hebu sema nikusikeeee???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna mchezaji apo
Yani mashabiki wa Tanzania hawana kitu kichwani midomo mrefu tuu kama walivyo muijaku na manaraMashabiki wa Simba na yanga sio wa kuwasikiliza
Wengi hulalamikia vitu wasivyovifahamu