Pape Osman Sakho

Pape Osman Sakho

Sasa ndugu zangu mbona mnanionea kiasi hiki! Kwani aliyewaita hili jina la "mbumbumbu" nyinyi mashabiki wa simba, ni mimi Tate Mkuu , au ni Mwenyekiti wenu wa zamani Mh. Ismail Aden Rage?

Mimi si huwa nawakumbusha tu ili msisahau! Mbona na nyinyi huwa mnatukumbusha yale maneno ya kukera ya Luc ya kutufananisha sisi mashabiki wa Yanga na Manyani lakini hatulalamiki!

Kumbe unaelewa sasa mayowe ya nini boss?
 
Back
Top Bottom