Pape Sakho aitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Senegal

Utaumiza kichwa mkuu. Hao Ni Kama kuku wa mdondo, hawachelwi kusahau.
Watu wenyewe wenye akili wapo wawili tu. Usishangae.
 
Sijui ni ushamba au ulimbukeni, ajabu ni ipi mchezaji kuitwa timu ya Taifa?
Kuna kuitwa timu ya Taifa na kuitwa timu ya taifa ya Senegal, know the difference,, hicho kikundi chenu cha Taifa stars hata wewe mwenyewe ukipasha siku mbili unaweza ukachukua namba ya mtu.
 
Simu unayotumia inatosha kukuelezea kiundani kabisa
 
Mchezaji akiwa hajitumi wala haonyeshi jitihada zozote bado aendelee kupangwa kwa nadai ya kulinda kipaji chake ?
Kwahiyo hawajitumi kwenu tuh?

Rejea comment niliyotuma juu nimelist msururu wa wachezaji ambao kwa kukosa game time kwenu imepelekea viwango vyao kushuka na vipaji vyao kuwa rehani.


Ushauri:
Fanyeni ku-rotate Kikosi na wengine wapate kucheza, haiwezekani kila mashindano/kila mechi wachezaji ni walewale!
 
Simbaaaa

Nguvu moja
 
Ni connection ya jamaa yake ana ukaribu na kocha huyo kaenda kukaa benchi tu hana maajabu yoyote na hatacheza.zuwena fc
 
pigeni story tu, horoya amesha fika,kuweni makini msije PASUKIA Kwa mkapa Tena.kuweni makini sana.
 
Kuna kuitwa timu ya Taifa na kuitwa timu ya taifa ya Senegal, know the difference,, hicho kikundi chenu cha Taifa stars hata wewe mwenyewe ukipasha siku mbili unaweza ukachukua namba ya mtu.
Nchi ina wajinga wengi sana CCM itatutawala miaka 800
 
Ukiwa huonyeshi kitu cha ziada mwalimu hawezi kukupa game time, timu inahitaji results
 
Fake news.
 
Taja na wachezaji walioitwa kikosi cha Mali, wanaocheza africa ni wangapi wameitwa? Vitu kama ivyo watu tulishaona vya kawaida nyie mnaweka na sherehe kabisa? Acheni ajenda nyepesi kama izo zisizokuwa na maana yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…