Pape Sakho ameuzwa Ubelgiji, imeniuma sana

Acheni kutafuta ujiko , auzwe ubelgiji kwa kiwango kipi alicho nacho.
 
Sackho si MCHEZAJI mzuri hivyo Wala USIUMIZE sana mkuu.

Mi nimeshangazwa mno na usajili unaendeleaje KLABUNI.

TATIZO KUBWA LA SIMBA LILIKUWA NI IDARA YA VIUNGO WA KATI 6,8.
nikajua watakimbilia KUSAJILI hili eneo na Beki mmoja then wahangaike na Winga mmoja, na mshambuliaji.

NAONA wanazidi kujaza mawinga tuuuu.
 
Aende tu,muda wake ulifika tunamkubali ila soka ni biashara.
 
Sasa unaumia nini! Mbona huumii kwa Joash Onyango kukimbilia Singida Fountain Gate?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…