kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Paper imeisha salama,ila haikua rahisi kivile.
Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dakika 80Hukujiandaa kisaikolojia hujui kama ni dk 40
Umbe siku hz wanatoa dakika 80..?Dakika 80
Vipi research imetoka..??Paper imeisha salama,ila haikua rahisi kivile.
Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
Nondo za class tuPoleni mkuu,Mungu ataweka mkono wake,maswali ya darasani au general questions?
Wametoa maswali gani??Paper imeisha salama,ila haikua rahisi kivile.
Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
Ile ni Tax ya ndani kabisaVipi research imetoka..??
Unaishi kwa kutegemea maneno ya mtaani.Nani amekuambia walikuwa 5900?.Mimi kibori Nangai
Miachane na hizo Biashara
Nawasihi tena
Vijana wenzangu Kazi ni connections
Bila hivyo sahau sijui kazi za Serikalii
Walionielewaa tumieni ushauri wangu👏💪
Nafasi 40 wanaitwa watu 5900
Embu kalkulate hiyo ratio
Wakuuu
Mkuu mbona povu linakutokaaUnaishi kwa kutegemea maneno ya mtaani.Nani amekuambia walikuwa 5900?
Usikatishe tamaa vijana watanzania.Sekretarieti ni ya watanzania wote,kila mtu aje apambane na wenzake wa level yake.Atakayefanya vizuri atapita
Kama hujiamini usiambukize wenzako.
Ndio,nafasi chache watu wengi.Lakini wanaofaulu wanakaa kwenye kanzidata na wengi tu wanaitwa kazini.Kalagabaho!
.Mimi kibori Nangai
Miachane na hizo Biashara
Nawasihi tena
Vijana wenzangu Kazi ni connections
Bila hivyo sahau sijui kazi za Serikalii
Walionielewaa tumieni ushauri wangu[emoji122][emoji123]
Nafasi 40 wanaitwa watu 5900
Embu kalkulate hiyo ratio
Wakuuu
Paper imeisha salama,ila haikua rahisi kivile.
Muda nao ni changamoto, wengi wetu hatujamaliza maswali.
Sababu ni nini mkuu..?hongereni mliofanya wengine tuliishia mlangoni..
Kulikua na calculations mkuuTupieni paper huku tuone au maswali