kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
- Thread starter
- #21
Ndio nyie hamkua na vitambulisho na original certificates?hongereni mliofanya wengine tuliishia mlangoni..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nyie hamkua na vitambulisho na original certificates?hongereni mliofanya wengine tuliishia mlangoni..
Inaonekana hii imewaumiza wengi, kuna rafiki yangu leo kanipigia simu analia amezuiwa kufanya mtihani kwakua hakubeba original certificates.Ndio nyie hamkua na vitambulisho na original certificates?
Solve sana hesabu maana hata leo watu wa custom wametolewa hesabuMfano wa maswari yaliotoka mkuu
Kama alisahau sawa maana kusahau ni kama ugonjwa au ajali Ila kama alipuuza tu ety kwa kuwa nimeitwa na taarifa zangu wanazo hapo kazingua huyo chaliiInaonekana hii imewaumiza wengi, kuna rafiki yangu leo kanipigia simu analia amezuiwa kufanya mtihani kwakua hakubeba original certificates.
Ulifanya tax management officer?Solve sana hesabu maana hata leo watu wa custom wametolewa hesabu
watu tunapata ajira na hatuna connection..Mimi kibori Nangai
Miachane na hizo Biashara
Nawasihi tena
Vijana wenzangu Kazi ni connections
Bila hivyo sahau sijui kazi za Serikalii
Walionielewaa tumieni ushauri wangu👏💪
Nafasi 40 wanaitwa watu 5900
Embu kalkulate hiyo ratio
Wakuuu
Pateni tuu mimi sio wakwenda kugombania Akira kama Nyanya Mkuuwatu tunapata ajira na hatuna connection.