Paper ya Tax management officer ii utumishi

Inaonekana hii imewaumiza wengi, kuna rafiki yangu leo kanipigia simu analia amezuiwa kufanya mtihani kwakua hakubeba original certificates.
Kama alisahau sawa maana kusahau ni kama ugonjwa au ajali Ila kama alipuuza tu ety kwa kuwa nimeitwa na taarifa zangu wanazo hapo kazingua huyo chalii
 
watu tunapata ajira na hatuna connection.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…