Papii Kocha apata mtoto

Huyu si alitolewa mwezi wa 12 au? Inamaana alivyotoka tu hapo hapo akapachika mtu mimba,hakuwa na uoga tena wa kufanya fasta fasta maana si alishang'atwa na nyoka?
... alitoka mwezi wa 12 mwaka gani? fanya hesabu halafu kumbuka huu ni mwezi wa kumi na kiumbe hukaa kwenye mji wa mimba miezi tisa
 
Hawa jamaa wamerudi Congo!??
 
..angalau naye ajue 'uchungu wa mwana'! Ataelewa jinsi wazazi wa watoto alionajisi walijiskiaje. Labda atakuja omba msamaha kwa public!
 
Uo Ukeke aliokuwa nao angempelekea Wemaa tayari angepata mimba ya mjera jela original
 
Aisee! Bashite amelitafuta miaka 7 ndio kafanikiwa tena kwa msaada wa watu wa marekani, papi ndani ya miezi 9 tu kafanikiwa, Mungu ni mwema kweli kweli.,
 
..angalau naye ajue 'uchungu wa mwana'! Ataelewa jinsi wazazi wa watoto alionajisi walijiskiaje. Labda atakuja omba msamaha kwa public!
Wakati anahukumiwa alikuwa tayari na mtoto wa kike sasa ni binti mkubwa tu, huyu si wa kwanza.
 
nauliza tu. waliacha miradi gani/uwekezaji uraiani inaonekana hawajatetereka kiuchumi kabisa
 
Aisee! Bashite amelitafuta miaka 7 ndio kafanikiwa tena kwa msaada wa watu wa marekani, papi ndani ya miezi 9 tu kafanikiwa, Mungu ni mwema kweli kweli.,
[emoji23][emoji23]
 
... alitoka mwezi wa 12 mwaka gani? fanya hesabu halafu kumbuka huu ni mwezi wa kumi na kiumbe hukaa kwenye mji wa mimba miezi tisa
Okay alitoka 9 Dec 2017,Inamaanisha mtoto alitungwa 14-27January 2018 kwahiyo baada ya kutoka jela tu akakaa kama mwezi hivi akaanza kuliamsha Dude.
 
doh aisee kwahiyo jamaa alitoka na maukwachu ya hali ya juu! duh
 
Tako moja, mtoto huyoooo kazaliwa. Alikuwa "amezilundika" sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…