Pappe Osmane Sakho aanza kukiwasha Senegal

Pappe Osmane Sakho aanza kukiwasha Senegal

Basi unhesema hata Senegal wamecheza na nani?

Umekirupuka tu
Kama hujui hata senegal alikuwa anacheza na nani basi wewe sio mtu wa mpira ,wewe ni shabiki oya oya also known as andazi,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mchezaji kucheza tu kwenye timu yake ya Taifa, tayari kwa mashabiki wa simba ni mafanikio makubwa kwao!
Yes

Inategemea anachezea timu gani.....
Kwani umeumia sana?

Unajua kwa nini ni Sakho na sio Banda,au Ntibanzonkiza?
Kwasababu Sakho anacheza katika taifa kubwa kisoka barani Africa ,taifa linaloshika namba moja katika bara na linashika nafasi za juu za soka duniani,

Anatoka Ismailla Sarr mchezaji mwenye profile kubwa katika ulimwengu wa soka na anaingia Pappe Sakho chezaji la Simba SC.....kukaa benchi moja na Khaliodou Coulibaly na kuongoza mashambulizi ukidouble na Saidio Mane sio jambo dogo
 
Timu imefungwa Kamba 4 unasemaje Sakho kakiwasha?

Aliye kiwasha ni Vini JR bhana...[emoji23][emoji23]

Kama umeingia dakika ya 80 halafu huja create chance, huja assist wala huja funga bao huwezi kusema "UMEKIWASHA"


Nimecheka kifala sana.
Hayo macho au vidonda..timu gani imefungwa
 
Yaani mchezaji kucheza tu kwenye timu yake ya Taifa, tayari kwa mashabiki wa simba ni mafanikio makubwa kwao!
Siyo kucheza tu..hata kuitwa tu na akaongeza idadi kwenye mazoezi ni mchango mkubwa sana..unaangalia na nchi gani ameitwa na....
 
Huna akili,

Alipokosa kucheza kabisa mlifungua nyuzi hapa ameenda kutalii,leo kapata nafasi ya kucheza mnataka afunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnahangaika kama wanawake malaya
Na akifunga watasema hakufunga hatitiriki.
 
Alifunga?
Alitoa japo assist?

Au ndiyo yale ya kufurahi ukipiga picha na Rais ilhali hupati kitu.
Kama sio mtu wa mpira jitahidi ujikite huko jikoni kuosha vyombo na kama ikiingia jf basi nenda kwenye zile mada za udaku.

Kwahiyo kila mchezaji wanjani ni lazima afunge au atoe assit ili ionekane kashiriki?😂
 
Huna akili,

Alipokosa kucheza kabisa mlifungua nyuzi hapa ameenda kutalii,leo kapata nafasi ya kucheza mnataka afunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnahangaika kama wanawake malaya
Waulize mayele kafunga ngapi na amecheza zaidi ya dakika 65
 
Back
Top Bottom