May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale(Empire Bakuba)....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?
Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?
Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.