Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mwenye mali kagawa urithi, Pappy ni Nani hadi aubishie urithi?Ila kiukweli hapa sio kwamba Pepe alichemsha.....hivi Bileku na Pappy nani alikuwa mkubwa kikazi?...au kwa kuwa Pappy hakuwa na asili ya Congo?.
Kikazi Papy alikua mkubwa kwa Bileku japokuwa Bileku nae kitambo ndani ya Empire ila hampati Papy coz Papy ni co-founder wa Empire. Bileku yeye alijiunga na bendi akiwa na miaka 15 mwaka 1980.Ila kiukweli hapa sio kwamba Pepe alichemsha.....hivi Bileku na Pappy nani alikuwa mkubwa kikazi?...au kwa kuwa Pappy hakuwa na asili ya Congo?.
Huyo kwani siyo pepe kalle?Wakuu naombeni mnitajie huyu mzee alikua anaitwa ndani maana nimetafuta sana sijajua jina lake.
Hapo kuna Bileku, Papy, huyo emoro pia simjui jina pamoja na huyo mzee. Anayewajua naomba anitajie tafadhali
View attachment 1824043
View attachment 1824044
Hapana huyo sio pepe kalle ni mzee gani sijui ila ananifurahisha sana anavyocheza.Huyo kwani siyo pepe kalle?
Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?
Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.
View attachment 1822980
Wimbo mzuri sana.Kuna wimbo mmoja unaitwa mupenzi bupe ameimba kwa kiswahili daah alitendea kazi lugha hadhimu ya kiswahili.
Salute hapa Pikinikee Chuga Chingaa Salute kwake......abilengex2Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?
Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.
View attachment 1822980
Mukulu salute...Kwa muda wote akiwa anafanya muziki wake basi ni lazima jina lake litatajwa sambamba na jina Pepe Kale....hata kama kwenye wimbo husika hutoisikia sauti ya Pepe Kale.
Nilibaki nikijiuliza ni kwa nini Msanii anayeonekana kuwa na kipaji chote hiki hakutaka kusimama kwa miguu yake mwenyewe ili hali aliwazidi wengi kwa sauti yake tamu isiyomchosha anayemsikiliza?
Raia huyu wa Zambia aliyekuwa anafanya shughuli zake za kimuziki nchini Congo ni kwamba hakuwa anajiamini ama? Maana naona alikuwa na nguvu tu sawa na Mwanamuziki kama Oliva Ngoma n.k.
View attachment 1822980
Umevunja Bendi...Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi pana watu wamezaliwa kiasili ni viongozi na wengine wamesomea uongozi na bado wakashindwa kuongoza.
Ukoo wa kina Genta huoWale emoro wafupi wa kwenye video za Pepe Kale ndio Banyamulenge wale. Wanakula nyama za watu
Mkuu kama una ngoma ya Moyibi weka hapanimewawekea hapo nyimbo tano kali za Papy Tex ambazo kwangu ndio nyimbo ambazo haipiti siku kama sijasikiliza.
1. Musique Clarification
2. Sinitia
3. Bupe
4. Ibetibi
5. Mammie
Huu wimbo wa Bupe alimuimbia mwanamke mmoja wa kitanzania kabila mnyakyusa akiitwa Bupe. Video yake ilirekodiwa live wakati Empire Bakuba walipofanya ziara yao ya kimuziki nchini Tanzania.