Vyote ni vilimo vizuri tena vya kimkakati.Habarini wanajamvi bila shaka mko poa kabisa.
Natamani kufahamu zaidi kutoka kwa watu wenye uzoefu wa vilimo vya mazao tajwa hapo juu(parachichi na korosho).wataalamu wa uchumi wa kilimo nisaidieni kufahamu ni lipi zao zuri zaidi kulilima kati ya hayo mawili maana lengo langu ni kufanya kilimo ambacho hakitanihitaji kutumia muda mwingi sana shambani kama vilimo vingine vya bandika bandua.nawasilisha.
Umemshauri vizuri kama KWELI anania ya uwekezaji,CHANGAMOTO ya kilimo cha korosho sio sawa na parachichi, maana parachichi inabidi uwe na chanjo cha uhakika cha maji,bila maji hesabu umeumia na mambo mengine kibao,Vyote ni vilimo vizuri tena vya kimkakati.
Angalia kipato chako kwa sasa,ila kwa kuanza nakushauri kati ya hayo mawili anza korosho kwa maana gharama zake za uendeshaji sio kubwa sana ukilinganisha na parachichi.
Vyote ni vilimo vizuri tena vya kimkakati.
Angalia kipato chako kwa sasa,ila kwa kuanza nakushauri kati ya hayo mawili anza korosho kwa maana gharama zake za uendeshaji sio kubwa sana ukilinganisha na parachichi.
Umemshauri vizuri kama KWELI anania ya uwekezaji,CHANGAMOTO ya kilimo cha korosho sio sawa na parachichi, maana parachichi inabidi uwe na chanjo cha uhakika cha maji,bila maji hesabu umeumia na mambo mengine kibao,
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Cha kukuongezea hapo,ukitaka kulima hayo mazao yafate usilazimishe yakufate,nina maana kwamba kwa mfano korosho ifate kailimie kusini na hiyo parachichi ifate kailimie njombe na maeneo yake ya karibu kwa kufanya hivi utakuwa umeipunguza changamoto ya masoko kwani wafanyabiashara wanafata haya mazao yanapolimwa kwa wingi.Asante mkuu nadhani sasa nijikite kufuatilia kwa ukaribu kilimo cha korosho.
hivi utaratibu wake wa mauzo hauna changamoto sana?
Ok sawa kiongozi ipo sahihi,ndio MAANA wakasema kilimo kina tembeaCha kukuongezea hapo,ukitaka kulima hayo mazao yafate usilazimishe yakufate,nina maana kwamba kwa mfano korosho ifate kailimie kusini na hiyo parachichi ifate kailimie njombe na maeneo yake ya karibu kwa kufanya hivi utakuwa umeipunguza changamoto ya masoko kwani wafanyabiashara wanafata haya mazao yanapolimwa kwa wingi.
Cha kukuongezea hapo,ukitaka kulima hayo mazao yafate usilazimishe yakufate,nina maana kwamba kwa mfano korosho ifate kailimie kusini na hiyo parachichi ifate kailimie njombe na maeneo yake ya karibu kwa kufanya hivi utakuwa umeipunguza changamoto ya masoko kwani wafanyabiashara wanafata haya mazao yanapolimwa kwa wingi.
Mikorosho gharama yake ipoje ?Vyote ni vilimo vizuri tena vya kimkakati.
Angalia kipato chako kwa sasa,ila kwa kuanza nakushauri kati ya hayo mawili anza korosho kwa maana gharama zake za uendeshaji sio kubwa sana ukilinganisha na parachichi.
Mkuu mimi binafsi sijaanza kulima korosho hivyo sina ufahamu nazo kwa sana,ila humu ukitafuta zipo nyuzi zilizoongelea ulimaji wa korosho na zinaweza kukusaidia kukupa mwanga.Mikorosho gharama yake ipoje ?
Sasa mbona ulisema korosho gharama zake sio kubwa wakati hauna uzoefu nazo?Mkuu mimi binafsi sijaanza kulima korosho hivyo sina ufahamu nazo kwa sana,ila humu ukitafuta zipo nyuzi zilizoongelea ulimaji wa korosho na zinaweza kukusaidia kukupa mwanga.
Kilimo bora ni Korosho mkuu,hasa kwa mikoa ya Pwani na kusini mwa Tanzania.Habarini wanajamvi bila shaka mko poa kabisa.
Natamani kufahamu zaidi kutoka kwa watu wenye uzoefu wa vilimo vya mazao tajwa hapo juu(parachichi na korosho).wataalamu wa uchumi wa kilimo nisaidieni kufahamu ni lipi zao zuri zaidi kulilima kati ya hayo mawili maana lengo langu ni kufanya kilimo ambacho hakitanihitaji kutumia muda mwingi sana shambani kama vilimo vingine vya bandika bandua.nawasilisha.
Mkuu hapo nimekupa jibu kwa gharama za jumla ila sio specific costs.Sasa mbona ulisema korosho gharama zake sio kubwa wakati hauna uzoefu nazo?
Mkuu kama ni kanda ya kati kwa korosho ni mtihani.kwasababu kipindi cha kipupwe ndo kororsho hutoa maua na upepo huwa mkali hivyo kuangusha maua asilimia kubwaa na kuacha vi maua vichache.Asante mkuu nadhani sasa nijikite kufuatilia kwa ukaribu kilimo cha korosho.
hivi utaratibu wake wa mauzo hauna changamoto sana?
Inasemekana kilimo cha korosho kinakubali pia Tabora na Kigoma.Kilimo bora ni Korosho mkuu,hasa kwa mikoa ya Pwani na kusini mwa Tanzania.