Habarini wanajamvi bila shaka mko poa kabisa.
Natamani kufahamu zaidi kutoka kwa watu wenye uzoefu wa vilimo vya mazao tajwa hapo juu(parachichi na korosho).wataalamu wa uchumi wa kilimo nisaidieni kufahamu ni lipi zao zuri zaidi kulilima kati ya hayo mawili maana lengo langu ni kufanya kilimo ambacho hakitanihitaji kutumia muda mwingi sana shambani kama vilimo vingine vya bandika bandua.nawasilisha.
Natamani kufahamu zaidi kutoka kwa watu wenye uzoefu wa vilimo vya mazao tajwa hapo juu(parachichi na korosho).wataalamu wa uchumi wa kilimo nisaidieni kufahamu ni lipi zao zuri zaidi kulilima kati ya hayo mawili maana lengo langu ni kufanya kilimo ambacho hakitanihitaji kutumia muda mwingi sana shambani kama vilimo vingine vya bandika bandua.nawasilisha.