Paredi la ubingwa Yanga na vibweka vyake

Paredi la ubingwa Yanga na vibweka vyake

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
1. Harmonize anaonyesha ishara za lugha za matusi hadharani hasa zikiwadhalilisha wanawake na mashabiki wanazishangalia, jambo la kushangaza mpaka sasa sio LHRC, TAMWA, BASATA, TFF au taasisi nyingine yoyote iliyokemea na kulaani vitendo hivyo.

2. Kingereza kibovu mno katika platform ambayo huenda ileinda kimataifa, mfano Harmonize "Azizi I want you to promise people you can not leave this club after three years". Kuna mtangazaji naye nilimsikia alikuwa anateseka mno na Kingereza cha kubabaisha, bora wangejikita tu na Kiswahili huku wanatumia mkalimani.

3.GSM ni Yanga na Yanga ni GSM,

4.Siasa za uchawa kwa utawala hazikukosekana kama kawaida.

5. Vijembe na mipasho kwa timu ya Simba
 
Parade lahovyo wana ubingwa lakini hawana furaha hapa ndipo naona kuwa ujanjaujanja ndiyo umewafikisha hapo walipo rushwa katika mpira inatakiwa ikemewe!
 
1. Harmonize anaonyesha ishara za lugha za matusi hadharani hasa zikiwadhalilisha wanawake na mashabiki wanazishangalia, jambo la kushangaza mpaka sasa sio LHRC, TAMWA, BASATA, TFF au taasisi nyingine yoyote iliyokemea na kulaani vitendo hivyo.

2. Kingereza kibovu mno katika platform ambayo huenda ileinda kimataifa, mfano Harmonize "Azizi I want you to promise people you can not leave this club after three years". Kuna mtangazaji naye nilimsikia alikuwa anateseka mno na Kingereza cha kubabaisha, bora wangejikita tu na Kiswahili huku wanatumia mkalimani.

3.GSM ni Yanga na Yanga ni GSM,

4.Siasa za uchawa kwa utawala hazikukosekana kama kawaida.

5. Vijembe na mipasho kwa timu ya Simba
Bora anajaribu kukiongea wengine hata kutamka neno la kimombo hawawezi,(do not speak I'll of others)
 
Sema tu Kiufupi.... Parade Limeendea kukosa Hamasa Kile Kimuhemuhe na ushamba vinaanza Kupungua.

Kimsingi Parade ni ya Timu changa changa. Kwanini ni excitement zao za kwanza Kwanza... kwa timu Kongwe kama Utopolo ni Ushamba mkubwa....
 
Parade lahovyo wana ubingwa lakini hawana furaha hapa ndipo naona kuwa ujanjaujanja ndiyo umewafikisha hapo walipo rushwa katika mpira inatakiwa ikemewe!
Chakula hata kiwe kizuri vipi lakini ukila kila siku hiko hiko kinakukinai. Kufanya parade mfululizo hakuwezi kuwa sawasawa na timu iliyokaa muda wa misimu kadhaa pasipo kubeba ubingwa.
Unazungumzia ujanja ujanja je unaweza kuweka bayana huo ujanja ujanja ni upi? Yanga wangekuwa wanashinda kwa ujanja ujanja basi wasingekuwa na ubavu wa kutoa sare na Al Ahly huku timu yako ya Simba imefungwa nje ndani, Yanga isingeweza kushindana na Mamelodi mabingwa wa Afrika kusini aliyopo kwenye top ranking ya CAF. Yanga isingeweza kumfunga Belouizdad na kumtoa kwenye hatua ya kuingia robo fainali wakati Belouizdad na kucheza robo fainali ni swala la kawaida kwao kila msimu. Sasa mwenzetu huo ujanja ujanja unaongelea ni upi?
 
Chakula hata kiwe kizuri vipi lakini ukila kila siku hiko hiko kinakukinai. Kufanya parade mfululizo hakuwezi kuwa sawasawa na timu iliyokaa muda wa misimu kadhaa pasipo kubeba ubingwa.
Unazungumzia ujanja ujanja je unaweza kuweka bayana huo ujanja ujanja ni upi? Yanga wangekuwa wanashinda kwa ujanja ujanja basi wasingekuwa na ubavu wa kutoa sare na Al Ahly huku timu yako ya Simba imefungwa nje ndani, Yanga isingeweza kushindana na Mamelodi mabingwa wa Afrika kusini aliyopo kwenye top ranking ya CAF. Yanga isingeweza kumfunga Belouizdad na kumtoa kwenye hatua ya kuingia robo fainali wakati Belouizdad na kucheza robo fainali ni swala la kawaida kwao kila msimu. Sasa mwenzetu huo ujanja ujanja unaongelea ni upi?
Wwe ni kichaa mbona simba ni ya 7 rank za CAF na wewe unaongoza ligi upo mkiani katika rank za CAF? Sisi tumeishapiga back to back for four season uliona tuna mbwembwe tunajua fika malengo ya ya Yanga kwa Simba na hamtaweza kamwe kutushusha japo mnapambana!
 
Parade lahovyo wana ubingwa lakini hawana furaha hapa ndipo naona kuwa ujanjaujanja ndiyo umewafikisha hapo walipo rushwa katika mpira inatakiwa ikemewe!
Ulitumia kigezo kipi kuona hawana furaha?, maana nimepita kariakoo jana asubuhi nimepishana na vibe la kufa mtu
 
Parade lahovyo wana ubingwa lakini hawana furaha hapa ndipo naona kuwa ujanjaujanja ndiyo umewafikisha hapo walipo rushwa katika mpira inatakiwa ikemewe!
Kama huna furaha ni wewe na kolo wenzio.. unaipimaje furaha ya mtu... Huku ni raha sana bwana kiiza
 
Wwe ni kichaa mbona simba ni ya 7 rank za CAF na wewe unaongoza ligi upo mkiani katika rank za CAF? Sisi tumeishapiga back to back for four season uliona tuna mbwembwe tunajua fika malengo ya ya Yanga kwa Simba na hamtaweza kamwe kutushusha japo mnapambana!
Ahahaha andiko limejaa makasiriko polen sana makolo
 
Wwe ni kichaa mbona simba ni ya 7 rank za CAF na wewe unaongoza ligi upo mkiani katika rank za CAF? Sisi tumeishapiga back to back for four season uliona tuna mbwembwe tunajua fika malengo ya ya Yanga kwa Simba na hamtaweza kamwe kutushusha japo mnapambana!

Kwanza unaonekana hujui kujibu kwa hoja, mtu yeyote anayekimbilia kutukana ujue anaupeo mdogo sana wa kiakili ndio maana anatumia matusi kama kinga.

Haya njoo na rank yako ya CAF ikionesha Yanga yupo mkiani, habari ya kushushwa mimi sipo tayari kuzungumzia kama mtashushwa au hamtashushwa ila tuupe muda uonge.

Ilikuwa na wimbo wa robo fainali za CAF na rasmi wimbo wa robo fainali ya CAF ikafa na zile nyimbo za klabu bingwa ni kwa wanaume zikafa.

Saivi mmebakia na kichaka cha ranking ambazo tokea mshiriki klabu bingwa kila miaka mmevuna point 39 hadi sasa, Yanga ndani ya misimu miwili mfululizo ana point 31 hadi sasa. Kwavile muda bado upo tuache muda utatupa majibu kuhusu hizi rank halafu utajua kuwa mtashushwa au hamtashushwa

N.B
Ukishindwa kuleta rank za CAF zikiionesha Yanga ipo mkiani basi wewe ndio utakuwa kichaa
 
Parade lahovyo wana ubingwa lakini hawana furaha hapa ndipo naona kuwa ujanjaujanja ndiyo umewafikisha hapo walipo rushwa katika mpira inatakiwa ikemewe!
Aliekuambia mashabaki wa Yanga hatuna furaha, alitaka kukutapeli , kua makini nae mtu huyo.
 
Back
Top Bottom