Internat ndio nini mkuu?kusiko na internat?
🤣🤣🤣🤣🤣Tutafanya parade?Simba inaweza maliza wa 2
Kenya sijui kumetokea nn kwenye soka.Inawekana raia wa kenya ambaye yupo abroad
Uganda ya Musoma ndio alipo.Popoma yupo Uganda
Uto....weweMimi sio shabiki wa Yanga ila huwa nafurahi sana Simba SC inapopita kwenye kipindi kigumu.
Waingereza wako wap apo mkuuWaingereza na mshangao Kwa wananchi View attachment 3001770
Mbona naona comments yangu apo🤣Comments hizo [emoji23]
Jidanganye 😄Najua ngeli ni shida kwako[emoji23]
Mwingereza anaitwa chiokeParedi la Yanga halijaistua tu Africa Bali dunia yote imetikisika mitandaoni kote ....ni Yanga tu
Vituo vikubwa vya habari vyaliongelea hili tukio la wananchi
Hizi ni baadhi Comments za waingereza Baada ya kushtuka nyomi la Yanga kuwazidi Manchester city
Makolo najua ngeli inawapiga chengaView attachment 3001759
Mwaka Gani?Haileweki mkuu ....ila Kenya walituacha mbali sana kisoka