Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Aaron Arsenal DullyJr Ollachuga Oc hii chapati kumbe imehamia PSG imechoka kutembea na kusumbua watu waje kushuhudia pressing za hatari.
Don Clericuzio
The best 007 Mc cane muoneni Man U mwenzenu kashakimbia timu.
...wamelitafuta hili kombe kwa muda mrefu sana.Msimu huu mwenye nacho haongezewi, kombe naliona Ufaransa
Sio wa mchezo halafu anae ongoza kwa vikombe vingi sio mjerumani?Hakuna kitu kama hicho wajerumani sio watu wa mchezo mchezo
Anaeongoza kwa vikombe vingi ni muhispaniola ila amini kwamba wajukuu wa Adolf Hitler wanabeba hii ngaoSio wa mchezo halafu anae ongoza kwa vikombe vingi sio mjerumani?
We kenge umekuja kujichimbia huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SEMI FINAL UCL FOR THE FIRST TIME IN A WHILE
Huyu Nyumbu msumbufu kajifichia huku lazma tumuitie mods ili ampeleke unyumbuni kilazimaAaron Arsenal DullyJr Ollachuga Oc hii chapati kumbe imehamia PSG imechoka kutembea na kusumbua watu waje kushuhudia pressing za hatari.
Don Clericuzio
The best 007 Mc cane muoneni Man U mwenzenu kashakimbia timu.
Umeahamia huku wewe kengeSEMI FINAL UCL FOR THE FIRST TIME IN A WHILE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe kahama man u baada ya kichapo cha SevillaAaron Arsenal DullyJr Ollachuga Oc hii chapati kumbe imehamia PSG imechoka kutembea na kusumbua watu waje kushuhudia pressing za hatari.
Don Clericuzio
The best 007 Mc cane muoneni Man U mwenzenu kashakimbia timu.
Lakini Kimbe sio lenuSawa wameshatolewa tayari
Kimbe la wanaume Bavaria Leo wanakamilisha ratibaOya ebu njoo tena
[emoji3] [emoji3] [emoji3] chapatiAaron Arsenal DullyJr Ollachuga Oc hii chapati kumbe imehamia PSG imechoka kutembea na kusumbua watu waje kushuhudia pressing za hatari.
Don Clericuzio
The best 007 Mc cane muoneni Man U mwenzenu kashakimbia timu.
Inakuwaje ndoto wakati mtu tayari kapambana kafika fainali? Muwe na akiba ya maneno ndo maana yakitokeaga ya kutokea tukiwaangalia usoni mnainamaNi ndoto psg kubeba ubingwa mbele ya Mjerumani, wasifikiri hao Nantes.
PSG atapigwa pakti tatu zinaishaFainali ikiwa kati ya PSG na Bayern itakuwq murua sana.
Tu subiri tarehe 23 acha maneno mengiPSG atapigwa pakti tatu zinaisha