Hakuwa na faida uwanjani ndio maana Kocha akafanya sub by the way muachieni Mbappe aende zake Madrid.Messi angetimkia city pangemfaa zaidi. Psg kila mtu anataka yeye afunge hata kama hayuko sehemu sahihi atalazimisha huku Messi akibaniwa pasi. Ni upumbafu haswaa. Kilichoniuzi pia kocha kampiga sub 😁 kwa style iyo wasahau uefa.
Hakuwa na faida uwanjani ndio maana Kocha akafanya sub by the way muachieni Mbappe aende zake Madrid.
Hana uwezo wa kucheza EPL.
Aisee PSG hapa kwa Messi wamepigwa za uso
Pointless mpira ni zaidi ya kufunga ,nipe stats zake uyo dogo alichofanya kweny mechiMashabiki wa ronaldo munatabu mnoo😁 angerikuwa amefunga jana mngeonyesha wapi face zenu!!!! Bado tuna imani nae sana.
Sheikh soon atamtengua pochettino nasema very soon haiwezekani kabisacomputerarsenal unajua kama mnacheza? Kama kawaida clean sheet hakuna.
Mnaenda suluhu half time na metz![emoji28][emoji28]
Halafu mnabebwa sana wazee.Sheikh soon atamtengua pochettino nasema very soon haiwezekani kabisa
Arsenal nayo ibebwe basi mbona haibebekiHalafu mnabebwa sana wazee.
Metz wanapata red dkk ya 91 eti dk ya 93 ndiyo mnapata goli la ushindi.
Hii timu yenu ni upuuzi mtupu.
Alikuwa kapatwa na nini ?.Sio fairView attachment 1957542 daah hadi hurumaView attachment 1957543
Messi kawanyamazisha rasmi haters (one minute of silence please)