ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Usiku wa leo, kuna hafla ya ugawaji wa tuzo za Ballon dor
Kwa mara ya kwanza tuzo hizo hazitakuwa na majina ya Lionel Messi au Cristiano Ronaldo.
Vinicius Junior wa Real Madrid anatajwa kama mshindi atakayetangazwa hapo baadae.
Sambamba na kutangazwa kwa Mchezaji bora wa Dunia, pia atatangazwa Mchezaji bora wa Dunia wa Kike.
Tuzo nyingine ni kama vile;
Kopa Trophy - Mchezaji Bora chini ya miaka 21
Yashin Trophy - Golikipa Bora wa Mwaka
Gerd Muller Trophy - Mfungaji Bora wa Mwaka
Socrates Award - Tuzo hii inaenda kwa mchezaji anayejishughulisha na shughuli za kijamii
Timu Bora ya Wanaume ya Mwaka
Timu Bora ya Wanawake ya Mwaka
Kocha Bora wa Mwaka
Kocha Bora wa Kike wa Mwaka
Tuzo hizo zitakuwa mubashara kuanzia saa 4:00 usiku kwa Masaa ya Afrika Mashariki kupitia DStv
Kwa mara ya kwanza tuzo hizo hazitakuwa na majina ya Lionel Messi au Cristiano Ronaldo.
Vinicius Junior wa Real Madrid anatajwa kama mshindi atakayetangazwa hapo baadae.
Sambamba na kutangazwa kwa Mchezaji bora wa Dunia, pia atatangazwa Mchezaji bora wa Dunia wa Kike.
Tuzo nyingine ni kama vile;
Kopa Trophy - Mchezaji Bora chini ya miaka 21
Yashin Trophy - Golikipa Bora wa Mwaka
Gerd Muller Trophy - Mfungaji Bora wa Mwaka
Socrates Award - Tuzo hii inaenda kwa mchezaji anayejishughulisha na shughuli za kijamii
Timu Bora ya Wanaume ya Mwaka
Timu Bora ya Wanawake ya Mwaka
Kocha Bora wa Mwaka
Kocha Bora wa Kike wa Mwaka
Tuzo hizo zitakuwa mubashara kuanzia saa 4:00 usiku kwa Masaa ya Afrika Mashariki kupitia DStv