Parking Dar: Kingunge na familia yake ni wasanii?

Parking Dar: Kingunge na familia yake ni wasanii?

Hongera Waziri Mkuu wetu,kwa muda mrefu tulikuwa tunasubiri yule atakayemfunga paka kengele.Kwadalili ulizozionyesha kwaahadi ulizotoa,tunaomba kwasasa uwe muda wautekelezaji.Familia ya MZEE KINGUNGE inanufaika sana namikataba bomu naomba pia upitie mkataba wamaegesho wamagari ktk jiji naona kuna harufu mbaya yaufisadi.
Kwakuanzia na wilaya ya ubungo naomba uzungukie wilaya zote za Dar naujionee uozo kuanzia TANDIKA SOKONI nasehemu nyeti zajiji.
Tembelea bandari nawakumbushe ahadi uliyotoa kwawatanzania kule Uingereza,baada yakujionea utendaji kazi wabandari ya dublin(Ireland).
Tanzania ina bandari nyingi Mheshimiwa fungua milango kwabandari nyengine kutoa ushindani,sio lazima Dar-es-salaam.Hiyo itasaidia maendeleo ktk nchi kwakufungua ajira zaidi,kupunguza mzigo kwajiji la DAR kutokana nawingi wa watu kwani watahamia kwenye milango mipya ya kiuchumi.Uchumi utakuwa naserikali kuongeza mapato.
Kenya ina Bandari moja ,Tanzania bara tuna Bandari 4 kama sikosei.Vp wenzetu watupige bao,Mheshimiwa Waziri Mkuu pitia haya nautupatie jibu.Hatutaki tusubiri hadi kampeni zauchaguzi mkuu zianze nakutuahidi ,ajira milioni moja zinawezekana hata kwamiezi6.Serikali iache ukiritimba nakuibebesha mzigo Dar peke yake,serikali iamke niaibu nchi kuwa maskini hali ina raslimali zakutosha.Angalia Tanga imekufa,naviongozi kule nikama waungu watu kuna mikataba mibovu ktk jiji lile hasa za ukarabati wabarabara uliza utaambiwa.Hayo nimachache Mheshimiwa pitia mikataba yote,wananchi tupo nawewe na Mungu atakulinda.Nashukuru kwakusoma kero hizi,nimimi mfurukutwa namzalendo.
Mungu Ibariki Afrika,Mungu Ibariki Tanzania.[/B][/COLOR][/B][/B][/COLOR]
 
Rekodi za mapato yao yote tangu walipokabidhiwa rasmi kuendesha kituo hicho zipitiwe na wakaguzi na warudishe mapato ambayo yanastahili kwa halmashauri ya jiji ambayo ni lazima yatakuwa zaidi ya shilingi milioni 1 kwa siku.

Jiji halina fedha za kufanya mambo mbali ya kuboresha huduma mbalimbali za jiji, wakati huo huo kuna watu wanapewa mikataba ya kifisadi.
 
Hata Maji ya DAWASCO anaiba,amejiunganishia katika bomba kubwa anajaza katika magari anaenda kuuza ,hajfungiwa mita kabisa huyo
 
Rekodi za mapato yao yote tangu walipokabidhiwa rasmi kuendesha kituo hicho zipitiwe na wakaguzi na warudishe mapato ambayo yanastahili kwa halmashauri ya jiji ambayo ni lazima yatakuwa zaidi ya shilingi milioni 1 kwa siku.

Jiji halina fedha za kufanya mambo mbali ya kuboresha huduma mbalimbali za jiji, wakati huo huo kuna watu wanapewa mikataba ya kifisadi.

contract law doesnt allow jazba za hivi. Wamekula inatosha sana sana tuhakikishe walipe back taxes maana hawa kwa kukwepa kodi wako juu.
 
...Kingunge mbona ana matatizo kiasi hiki! Huyu si ndio anaendesha pia ile Parking System? Ndio maana anachukia watu wanaopinga mafisadi,ni fisadi namba moja, na tatizo kuwa busara kwake kwake zinapungua badala ya kuongezeka kama tunavyodhani wazee wana busara,lakini kwa huyu ni tofauti. Kwanza ana ushauri mbovu kwa Jk, pili anatetea ufisadi (rejea alivyopinga kuwepo kwa ufisadi BOT), nadhani pia ndio mzee wa fitina CCM (rejea alivyowapinga akina Warioba na Bujiku). Naomba mwenye mazuri yake ayaweke hapa, so far record yake haionyeshi!
 
Hapo patachimbika nasikia ettiii ndio zawadi amepewaapatemo na yeye humo hahaha maana et. hakuwa na chochote hadi wakamfikiria parking syst na UBT.jamaa wamechuma vya kutosha sasa hata jiji wanaumia sana ila wanaogopa yule mama ni jeuri hasa nenda pale parking syst asubuhi saa 1 kamili ukaone manyanyaso kwa wale vijana hakunamkataba ukifika ndio hapo hapo unapewa kitabu cha risiti kama unaumwa utajijuamwenyewe...wao wanataka uwe pale fit....utakuta foleni yavijana wapya wanasubiri wasiofika wapate nafasi siku hiyo...mama anafoka kama nini sijui....
 
...Kingunge mbona ana matatizo kiasi hiki! Huyu si ndio anaendesha pia ile Parking System? Ndio maana anachukia watu wanaopinga mafisadi,ni fisadi namba moja, na tatizo kuwa busara kwake kwake zinapungua badala ya kuongezeka kama tunavyodhani wazee wana busara,lakini kwa huyu ni tofauti. Kwanza ana ushauri mbovu kwa Jk, pili anatetea ufisadi (rejea alivyopinga kuwepo kwa ufisadi BOT), nadhani pia ndio mzee wa fitina CCM (rejea alivyowapinga akina Warioba na Bujiku). Naomba mwenye mazuri yake ayaweke hapa, so far record yake haionyeshi!
Mpigafilimbi vipi bana! Hawa wazee wa aina hii ndio JK anawapenda saaaana, sio wale (km. Butiku,Warioba nk) wanaotoa maneno ya vijiweni. Hujamwelewa mkuu? Habari ndio hiyo. Pinda asubiri zengwe atakaloundiwa na KIBABU hivi karibuni. Subiri
 
Hapa ndipo tunapokumbuka msemo wa kiswahili, "Ukishangaa ya musa..." Huyu babu Kingunge si ndiye aliyesemekana kuwa mkomunisti wa kweli na ambaye sifa zake zilivuma kila pembe ya nchi, hadi viongozi wakubwa kuitwa Vingunge au?? Kama haya yanafanywa na familia ya Kingunge, basi yanyofanywa na familia zilizokuwa za wezi toka awali ni heri usiyasikie!! Hata hivyo somo linalojitokeza hapa ni moja, hakuna mtu hata mmoja aliyebaki kwenye Chama chetu ambaye kazi yake si kutafuta fweza. Kwa sababu huyu babu ndiye alikuwa SI unit (kipimio cha usafi) ya viongozi wa chama.
 
Last edited:
Mkataba uliopo kati ya Jiji na Smart Holdings ni halali kisheria, ulisainiwa na watu wazima wenye akili zao ambao walikuwa wanajua kile wanachokifanya. Cha msingi ni kuupitia huo mkataba upya na kubadilisha vipengele ambavyo havijatulia, kama taratibu hazikufuatwa wakati wa kumpata mzabuni huyo basi- wananchi tuelezwe na wahusika ni kwanini hazikufuatwa na ikibidi mkataba huu usitishwe. Mzabuni mpya atafutwe kwa kufuata taratibu zilizopo.
 
hii kali.

unaweza kusema nini kuhusu hii familia zaidi ya kusema ni ya kifisadi?

na mafisad wote hawapendi watz/wananchi wenzao, hawapend maendeleo yao, hawapendi nchi yao, na wala hawawezi kupenda chama chao
 
Mpigafilimbi vipi bana! Hawa wazee wa aina hii ndio JK anawapenda saaaana, sio wale (km. Butiku,Warioba nk) wanaotoa maneno ya vijiweni. Hujamwelewa mkuu? Habari ndio hiyo. Pinda asubiri zengwe atakaloundiwa na KIBABU hivi karibuni. Subiri

Tehe..tehe...tehe....tehe!!
 
Mzee Kingunge ni Bepari tangu zamani na ndio maana hata Baba wa taifa hakumwamini kwa kumpanafasi nyeti zaidi ya nafasi za kisiasa tu.Anajidai muumini wa Azimio la Arusha wakati anatekeleza Azimio la Zanzibar.Ni mmoja wa waliohujumu harakati za Hayati Sokoine.CCM itajimaliza ikiendekeza mawazo butu ya watu kama kingunge ya kulindana hata kama anahujumu nchi na watu wake.Ile dhambi ya kukiuka Azimio la Arusha itaendelea kumtafuna mmoja baada ya mwingine.
 
Huyo mama hana aibu na wala hatosheki ! Huyo mzee ameshakua mtu mzima, haongei wala hafurukuti mbele ya mkewe. "National Parking solutions" wanakusanya pesa mpaka vichochoro vya kariakoo, mpaka mbele ya nyumba za watu, ardhi yote ya DAR imekuwa shamba lake, utafikiri ametoka nayo BK ! isitoshe, ana mtoto mmoja tuu, na yeye kazeeka, hizo hela zote atazipeleka wapi ??????????????? TAMAA GANI HIYO !!!!!!!!!!!!!!
 
Huyo mama hana aibu na wala hatosheki ! Huyo mzee ameshakua mtu mzima, haongei wala hafurukuti mbele ya mkewe. "National Parking solutions" wanakusanya pesa mpaka vichochoro vya kariakoo, mpaka mbele ya nyumba za watu, ardhi yote ya DAR imekuwa shamba lake, utafikiri ametoka nayo BK ! isitoshe, ana mtoto mmoja tuu, na yeye kazeeka, hizo hela zote atazipeleka wapi ??????????????? TAMAA GANI HIYO !!!!!!!!!!!!!!

Unamaanisha nini? Ina uhusiano gani na ufisadi?
 
Huyu Mzee mtakuwa mnamuonea, nafikiri watoto wake ndiyo wenye miradi hiyo na wanafaidika mojakwamoja inawezekana huyo Mzee hata mikataba yenyewe haielewi. Pinda pia angepitia na mikataba ya parking pale Julius Nyerere International Airport na Kivuko cha Kigamboni ambayo pia ni ya kwao. Pamoja na Parking katikati ya jiji.
 
Waziri mkuu Pinda amefanya kitu ambacho ilikuwa kifanyike muda mrefu sana uliopita. Maana hapa kwenye mikataba kuna kubebana sana. Kwanza jinsi hii familia ilivyopata huo mkataba mpaka sasa ni kitendawili. Inabidi ifuatiliwe maana haikuwa competitive bidding. Walipewa tu!!!!

Na inabidi isihishie hapo, wafuatilie na kujua ukweli wa ndani na kwanini mkataba feki kama huo ulikubaliwa.

Lakini pia mpaka mtu mzito kama waziri mkuu ndiyo aje aseme yote hayo hawa viongozi wengine wako wapi? Madiwani, wakurungenzi na wengineo kibao? Kuna kazi kubwa mbele lakini tutashinda tu...
 
Kumbe ndo maana alikuwa haguswi huyu mzee.
Kweli msafi ni Pinda na Dr.Shein wengine wote wezi tu serikalini.
 
Kumbe ndo maana alikuwa haguswi huyu mzee.
Kweli msafi ni Pinda na Dr.Shein wengine wote wezi tu serikalini....

....wewe angalia Muungwana asikusikie ohooo.... Kwani salva hajapata sabuni ya kusafishia kiti cha muungwana?

Hongera Kingunge kwa kula bingo bila jasho. Ila ujue time will tell well.
 
Back
Top Bottom