Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hii nchi ndio maana hata hao viongozi wakistaafu wankufa haraka haya mateso kama unaitafuta pesa yako kiuhalali kwa hustle zako hutoboiKua TZ Ni laana wallah, mm Kuna siku sikutoka kabsa nikaona washaniwekea parking fee wakat sikuwepo kbsa hata mitaa hio sikuwepo
Waanze kujenga parking kwanza ndo waje kudai watu hizo fee.Parking fee ni wizi kuibia wananchi.
Mmimiliki ananufaikaje akipark.
Nafikiri ingependeza wakiweka walau 15mins hivi ila kibongo bongo, hata ukisimama ununue maji/Vocha/ETM vyote ni chini ya 5mins unachajiwa......Kisheria mtu apaki dakika ngapi ndipo alipe
Kisheria mtu apaki dakika ngapi ndipo alipe
Mda mchache sana huu kama Pana foleni je kwenye huduma5 mins
Hili ndilo la msingiBasi waboreshe maeneo ya parking basi
Ova
Inapaswa kuwekwa muda maalumu ili ijulikane mfano pale Mlimani city baada ya lisaa ndio unachajiwaKisheria mtu apaki dakika ngapi ndipo alipe
Ingia playstore download gepg tanzania appUnaangaliaje madeni?
Ungeficha na control number boss.ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?
Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.View attachment 2738650
unaongelea bar. Ilala siku hizi mpaka vibarazani mwa nyumba za watu wanapita kukatisha parking. Sasa imagine nyumbani kwako unalipishwa parking, ukapaki wapi gari sasa.Parking hadi nje ya mji bar si wizi huu
Wakikujia waonyeshe hiyo tarehe ya deadline halafu waulize imefika? Wakileta fujo na wewe wafanyie fujo.ila mbona ukiangalia online inaonyesha kuna ukomo wa tarehe ya kulipa. Je hiyo kamata kamata ni kwa wote ama wale waliovuka ukomo wa tarehe?
Ila hii nchi kila kitu kimekuwa fursa sasa. Na huu utaaanza kuwa usumbufu mwingine sasa na mwanya wa watu wa jiji kuchukua pesa za hongo.View attachment 2738650
Thanks. Done, nimeona madeni ya kutosha..!Download 'GePG Tanzania'