(Parody) Video ya madaraka ya kulevya yatoka, na Makonda ndani

(Parody) Video ya madaraka ya kulevya yatoka, na Makonda ndani

Na kweli wananguvu maana mpaka Mkulu wa nchi hakulala usiku mzima anausikiliza huo wimbo wa Ney na asubihi akatoa conclusion ya Ney aachiwe huru, hawa watu si mchezo wanawanyima usingizi si kitoto
Namba moja yuko vizuri kwenye saikolojia.Kwa kuhuruhusu ni kama amedilute dhamira ya😵f course hawezi kufanya maamuzi kwa kelele za wimbo!Weekend vipi lakini?
 
Wimbo mzuri sema huyo Joh Makini pumba tupu sasa hapo sijui anarap nini.

Combination ya Nikki na Gnako inatosha uyo joh anaharibu
 
"Hawa watu" wana nguvu sana ya pesa.Hata wimbo wa Ney wa mitego WAPO ukiusikiliza vizuri utagundua kabisa umefadhiliwa na "Hawa watu"."Hawa watu" ni hatari sana duniani kote.Wana.mtandao hatari
Katika wale maadui ujinga,maradhi na umasikin adui mkubwa kuliko wote hapa ni ujinga, yaani mkulu alikuwa analipiza visasi kwa kutumia inshu ya madawa imekuwa kila mtu akipinga ukilitimba anauza sembe.
 
Back
Top Bottom