Yupo anaimba mipashoWaziri wa afya ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo anaimba mipashoWaziri wa afya ni nani?
Mapadre wana contacts sana na waumini katika maeneo mbalimbali kama sanduku la maungamo, kukomunisha, ofisini mambo mbalimbali. Tuwaombee sana sana.Poleni! Sasa napata wasiwasi- mbona mapadre wamekuwa mstari wa mbele kwenda mbele ya haki kwa maambukizi mapya ya ugonjwa wa kushindwa kupumua- pneumonia? Moshi January hii alikufa Pd Lewanga, Pd Victorin Riziki na huko Bukoba Pd Irenulis Mbahulira na wengine wengi tu wako mahospitalini, wengine wametoka. Kunanini? Sio Korona!?
Atathubuti kusema kitu gani?Yupo anaimba mipasho
Atathubuti kusema nini? Na yeye anasikilizia kama sisi tu. Bora mfe kuliko kutangaza. So sad. Wakatoliki wameamua kujitangazia.Waziri wa afya ni nani?
Shida yetu sahz watu wanataka kutangaza kila kifo, kifo kipo tuu, ila tusiogopeshane tukaja kufa kizembe kwa stress,
Chukua tahadhari korona inaua.