TANZIA Paroko wa Mwananyamala, Padri Benedict Ndeyekiyo afariki dunia

Mapadre wana contacts sana na waumini katika maeneo mbalimbali kama sanduku la maungamo, kukomunisha, ofisini mambo mbalimbali. Tuwaombee sana sana.
 
Shida yetu sahz watu wanataka kutangaza kila kifo, kifo kipo tuu, ila tusiogopeshane tukaja kufa kizembe kwa stress,
Chukua tahadhari korona inaua.

Shida ni kuwa kukereka kulikopo kufuatia tangazo lolote la kifo hata kama ugonjwa ni ule wenyewe ni kwa kiwango cha SGR.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…