Mh! Kama ninachoona hapa ni kweli bs kazi ipo... Kati ya wadada niliowaona ktk cm ya fisadi langu, 4 wako hapa nimeona walivyokuwa wamesaviwa ktk cm ndivo wanaappear hata hapa so the guy is JF member na anamix vidosho kwelikweli?! Nijiweke pembeni kuepusha mso....