Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Yesu ni mambo yote ndani ya yote.Wewe dada naona hapo katikati ya miguu yako panakuwasha sana.
Hivyo vitu huwezi elekezwa kama unaenda Duka Fulani cha kufanya., Orodhesha Mikoa au miji inayosifika kama mitano tembelea maeneo hayo, Fanya mazoea na wananzengo watakuelekeza ,hizo sehemu huwezi zijua mitandaoni.Mbona sasa bariad mashariki ni kubwa, ni wapi haswa location, sehem inaitwaje au anaitwa nani, naomba details zaidi pm.
Nani aende kubeba mizigo ya dhambi??Wakulungwa matajiri naona mnapita kimya kimya mnisaidie connection hizo basi.
Tayari nimeolewa.Dada tafuta mwanaume mwingine wa kumuonea huruma pengine atakuoa mana naona unahangaika na mimi sijui ndio staiki yenu mmeambiwa na manabii ya kupata waume.
Njoo nikupeleke lakini baafa ya hapo utaishi miaka 15 tu halafu unakufa kwenda kuwa msukule huko.Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.
Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.
Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.
Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.
Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.
Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.
Hail Lucifer!
ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
Matajiri wa.Bongo ndio hawasemi vyanzo vya utajiri wao.Haya mambo ni siri Dinazarde..sitaweza ku share chochote, hata huyo magere aliyekuja humu na wa aina yake ni waongo wanatafuta kuuza vitabu wapate kuishi ..mjini hapa! Hakuna tajiri atakuambia siri ya utajiri wake, labda aamue mwenyewe kukusaidia kukuonesha njia alizotumia haswa za dini yangu ya satanism.
umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.
Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.
Hail Lucifer!
ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
kujua chanzo cha utajiri wao haimainishi kwamba they don't do dirty stuff to get/remain. masuala ya utajiri yana maagano mengi ya siri.Matajiri wakubwa 10 wa humu Duniani tunajua vyanzo vya utajiri wao.
Imani mkuukujua chanzo cha utajiri wao haimainishi kwamba the don't do dirty stuff to get/remain to the top. masuala ya utajiri yana maagano mengi ya siri.
Imani mkuu
Biashara ina mawili Tu. Demand na Supply. Zaidi ni timing yaani uwe na mtaji wakati sahihi wa Demand ama Supply.
dah!ndio tulivyodanganywa vyuoni na kama kanuni za kuwa tajiri ni simple namna hiyo basi leo hii maprofesa wa uchumi wote wangekuwa matajiri. asante kwa maoni yako.