Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Aisee bado mnaamini vile vitabu vya hadithi za kale?Huu muda wote unaohangaika kwa nguvu namna hii kumtafuta shetani, hii nguvu unayoitumia kumtafuta shetani ungeiweka Kwenye kutafuta Ufalme wa Mungu, nakuambia ungekuwa mbali sana.
Unamuhitaji Yesu,yeye ni jibu la mambo yote.
Subiria ijumaa waswali sita swali na bado sijapata ruhusa ya kukupa namba sawa mzeeWakulungwa matajiri naona mnapita kimya kimya mnisaidie connection.
Hadi sasa upo serious kweli uanaume ndiyo huo sasaWakulungwa matajiri naona mnapita kimya kimya mnisaidie connection.
Wakulungwa matajiri naona mnapita kimya kimya mnisaidie connection hizo basi.
Wengi wameshaniambia hivyo, sijui uzoeane na bodaboda n.k, jambo ambalo mimi naona kama unapoteza muda unaenda sehem uanze kuzunguka na kuuliza uliza kama mwehu, kumbuka hapo gharama unatumia, mim naamin ntapata kuelekezwa vyema hapa hapa, na kizuri jamii forums kuna sehemu ya private message , na hadi sasa naona mwanga kwa mbali.
Mganga akikuambia uachame mdomo akuharishie mdomoni ikiwa ni moja ya sharti je uko tayari?Yanayozungumzwa kati ya mtaalam wa jadi na mteja wake hua yanabaki baina yao, wewe third party huna mamlaka ya kuhoji ama kuuliza sababu hauhusiki na wala hutojua chochote na haitokusaidia kujua mana hauna sababu maalumu ya kujua. soma mada elewa acha papara na mhemko.
Piga namba hii, halafu mueleze shida yako kikamilifu,halafu usikie atakuambia kitu ganiNani ataishi milele mkuu?! Ukishakufa na biashara yako inaishia hapo, hakuna sijui kwenda mbinguni au sjui motoni, wala upuzi mwingine ambao hua tunadanganywa ..nakuja pm niko tayari.
Sio wewe mwenye njaa mpaka unatafuta waganga? Nani mwenye stress?Stress! Pole dogo!
Si unadhani maisha yanakupiga wewe basi na wote hivyo hivyo?Mimi napambana, wewe umekalisha mapumbu unani judge mimi , endelea kula kwa shemeji yako aliyemuoa dada usiwe na wasiwasi sawa dogo?!
kwahiyo umeshindwa kujua hiyoNataka kuwa kiben10
Kama title inavyojieleza.. nna imani kitonga kitasaidiaaa.. mashugamami kama sister fey mnakaribishwaaa...www.jamiiforums.com
Halafu unashindana na mimi..mwanaume napambana, wewe unataka kua kiben 10 kwa majimama..kakojoe ulale! GFY.
Mimi naona tukuache na upopoma wako ukifa tuAnaniambia niendelee kukazana nimpate mwanachama wake mkuu wa kunipa.utajiri. wewe endelea kulala hapo kwa shem.
Ata Bill Gates aliwai nukuliwa na mwandishi wa habari kuwa utajiri wangu ni siri yangu namna nilivyoupataHaya mambo ni siri Dinazarde..sitaweza ku share chochote, hata huyo magere aliyekuja humu na wa aina yake ni waongo wanatafuta kuuza vitabu wapate kuishi ..mjini hapa! Hakuna tajiri atakuambia siri ya utajiri wake, labda aamue mwenyewe kukusaidia kukuonesha njia alizotumia haswa za dini yangu ya satanism.
Nakutakia kila la kheri!Naelewa mkuu